Watu 74 wamefariki na zaidi ya elfu moja kujeruhiwa katika vurugu kubwa iliyotokea jana baada ya mashabiki katika ya Al Masry na Al Ahly ambapo Al Masry iliichapa Al Ahly kwa mabao 3-0 ambapo mashabiki waliingia uwanjani na kuanza vurugu hizo katika mji wa Port Said nchini Egypt jana ambapo ziliishia kuwa uwanja wa siasa baada ya soka.
Kutokana na vurugu hizo kubwa zilizosababisha watu kadhaa kupoteza roho zao pamoja na majeruhi mechi kati ya Zamalek na Ismailia ilisimamishwa kutoendelea kuchwezwa ambapo hadi mapumziko mabao yalikuwa ni 2-2.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago