Timu kubwa zenye majina za england na Spain na Germany zinapigana vikumbo kumuwania Yosso huyo kabla ya kutokea timu nyingine kuwahi kumnyakua huku timu yake ya AZ Alkmar ikimkazia buti kuhakikisha hawampotezi katika timu yao ambae kwa sasa ni tegemeo la timu hio
......................................................................................................................................
Enouh ni mmoja wa vijana nyota waliogunduliwa na Ajax Capetown nchini Cameroon kabla ya kumuhamishia makaazi yake nchini Afrika ya Kusini ambapo alipata mafunzo katika timu hio kabla ya kuchukuwa na Ajax Amsterdam ambapo kwa sasa ndie kiungo mlinzi wa kutegemewa waAjax Amsterdam ambae hakucheza dhidi ya Manchester United kutokana na majeruhi.