Baada ya kuvumiliana kwa muda tokea kuwasili kwa kocha wa Chelsea Adre Villas-Boas leo Timu hiyo imemtimua rasmi baada ya matokeo ya jana ya kuchapwa bao 1-0 dhidi ya West Bromwich.
AVB ambae alijiunga na timu hio mwezi June mwaka 2011 aliifundisha timu hio si zaidi ya miezi 6 hivyo kushindwa kuonyesha ubora wake uliompeleka katika klabu hio ya Stanford Bridge.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago