Miamba ya soka ya Afrika Kusini Orlando Pirates imeyaaga rasmi michuano ya soka ya mabingwa barani Afirca baada ya kulazimwishwa sare ya bao 1-1 ugenini dhidi ya Recreativo do Lobolo ya Angola.
Kutokana na sare hio Pirates wameaga michuano hio kwa jumla ya mabao 4-2 baada ya kufungwa nyumbani kwao mechi yao ya kwanza kwa mabao 3-1.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago