bayern München imeutumia vizuri uwanja wake wa nyumbani kwa kuifunga Real Madrid jumla ya mabao
2-1 katika pambano la awali la nusu fainali ya Eufa Champions League.
hata hivyo Real Madrid bado ina nafasi nzuri ya kusonga mbele katika michuano hio kutokana na bao la ugenini kama Bayern haitozuwia ushindi wao huo ambavyo dhahiri haitokuwa rahisi kwa Madrid katika pambano hilo kutokana na Bayern kuhakikisha inafanya vizuri katika pambano hilo ili kuweza kusonga mbele Fainali itakayochezewa katika uwanja wao wa nyumbani.
mabao ya Bayern yalifungwa na Ribery na Mario Gomez ambae anaongoza kwa ufungaji wa mabao 12 katika michuano hio pia huku akifatiwa na Messi wa Barçelona akiwa na mabao 11.
Bao la Madrid lilifungwa na Ozil.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago