Chelsea imetumia vizuri kati ya nafasi kiduchu ilizopata katika lango la Barçelona na kushinda bao 1-0 katika pambano la nusu fainali hivyo kuifanya Chelsea kuwa nusu njia kuelekea katika fainali za michuano ya Eufa Champions League.
Katika pambano hilo Barçelona walitawala vipindi vyote viwili ambapo walikosa nafasi nyingi za wazi za kuweza kukomboa bao hilo ambalo lilifungwa na Drogba katika dakika za majeruhi za kipindi cha kwanza.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago