WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Thursday 9 July 2015

MFANO WA MRADI WA KUKUZA SOKA KWA VILABU NA TAIFA NCHINI



VITESSE ARNHEM U10

Viongozi wa kituo cha kukuza soka kwa vijana nchini cha Orange Football Academy kinatoa maoni yake kwa Uongozi mkuu wa Soka wa Bara na Visiwani kwamba hivi sasa ni wakati mzuri wa kubadilika kisoka ili kuendana soka ya kisasa kwa malengo wa mafanikio kwa Taifa siku zijazo kama vile nchi zote zilizoendelea kisoka duniani zinavyofanya.
Nchi yetu hairuhusiwi wachezaji wenye uraia wa nchi mbili hivyo kuwanyiwa vijana wa Kitanzania wanaishi nje ya nchi yetu kuliwakilisha Taifa letu hivyo inabidi tuwe na muono mwingine kwa kupanda soka yetu kupitia katika mradi huu wa watoto wa rika mbalimbali kama wanavyoafanya wenzetu.

Aidha hivi sasa ni wakati mzuri kwa Wawekezaji kuwekeza katika soka la vijana pia kwenda sambamba na timu zote madaraja yote kulazimishwa kuwa na timu za vijana wa chini ya umri wa miaka 13-15-17 na 20 kwalengo la kuvipunguzia mizigo vilabu hivyo vya usajili pamoja na kuwafanya wachezaji hao vijana kuwa na uhakika kujengeka katika misingi ya kiuchezaji wa vilabu vyao na pia kujiweka tayari kama ambavyo hapo (katika picha) zinaonekanwa timu ya Vitesse Arnhem ya Holland ambayo ni timu dada ya Chelsea ya England ikianzisha mradi huu ambao utakuwa ni wa muda mrefu na endelevu.

VITESSE ARNHEM HOLLAND-CHELSEA B ( TAJIRI ABRAMOVIC )DARAJA ERADIVISIE:
U11

U12

U13

U14

U15

U16

17

                                                                                    U19

VITESSE ARNHEM  SELECTIE 7 JUNI 2015