WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Saturday 25 July 2015

ORANGE FOOTBALL ACADEMY CHACHU YA WATALII ZANZIBAR


Kituo cha kukuza soka kwa vijana nchini Oranje Football Academy " O.F.A " kupitia katika blog yake hii pamoja na plus.google.com ambayo inahifadhi picha za matukio mbalimbali ya picha yanayowekwa katika blog hii inayomilikiwa na kituo cha O.F.A hadi kufikia leo imeweza kufikisha idadi ya karibu nusu milioni ya watu duniani kote waliotembelea links hizo bila ya kujumisha idadi hio na official website ya kituo hicho www.ofaznz.net pamoja ya video ya YOTUBE ambavyo vyombo vyote hivyo kwa ujumla itafanya idadi kubwa ya kuzidi nusu millioni ya watu waliozitembelea na kuona mambo na habari mbalimbali zinazohusu Zanzibar.

Kati ya  watu hao duniani kote ambao kupitia katika links zetu hizo sio tu wameweza kufatilia soka la nchini bali wengi wao wameweza kufatilia ni nchi gani husika ambayo inazungumziwa na hivyo kuwafanya kati ya watu  hao zaidi ya nusu millioni miongoni mwao kuvutiwa zaidi ya utalii hivyo kuweza kuvumbua Zanzibar kuwa ni sehemu kubwa na tulivu duniani kwaajili ya mapumziko ya holidays kwa watalii hao.

Pamoja na kutokuwa na idadi kamili ya watu duniani kote ambao walioanza kuifatilia Zanzibar kwa  kuanzia safari yao kwa kutembelea katika links zetu hizo ni uwazi kwamba kati ya watu hao zaidi ya nusu milioni waliotembea kuna kundi kubwa sana la watalii ambao kituo chetu cha kukuza soka kwa vijana nchini ORANGE FOOTBALL ACADEMY kimekuwa ni " chachu " ya watalii hao kuja kutembelea visiwani pamoja na Tanzania kwa ujumla.

Pamoja na kwamba kituo chetu hakijanufaika hadi sasa na ujio huo wa watalii hapa nchini lakini kituo chetu kina kila sababu na  kinazidi kujivunia manufaa yanayopatikanwa nchini kwa njia hio ya utalii  zaidi ya kwa  kituo chetu ni moja ya " chachu " ya maendeleo hayo katika sekta hio ya utalii.






Katika link ya  plus.google.com idadi ya waliotembelea ni laki  444.467 wakati katika blog ya O.F.A idadi ikifikia 41,627 idadi hio kwa ujumla ni 486.094.
idadi hii haijumuishi ile ya official website ya ofaznz.net pamoja na youtube/oranje football academy zanziabr

Kituo chetu pia kinajivunia vijana wake wawili Mudathir Yahya ambae ni mchezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania pamoja na Seif Abdallah "karihe" ambae pia baadhi ya muda amekuwa ni mchezaji wa Taifa ya Tanzania wote wawili wakiwa ni wachezaji wa Azam Fc ya Dar Es Salaam pamoja na timu ya taifa ya Zanzibar, hivyo hayo ni moja ya maendeleo na malengo ya kituo chetu kutoa vijana zaidi watakaofata nyayo hizo za kaka zao siku zijazo.
Tunatarajia wadau wote  kutoa ushirikiano wa hali yoyote  na kituo chetu cha kukuza soka kwa vijana nchini ili kuweza kuendelea zaidi na kufikia malengo yake kwaajili ya Taifa letu.

BAADHI YA PICHA NA IDADI YA WALIOZIANGALIA DUNIANI KOTE 





Hizo ni baadhi ya picha zikiwa na idadi walioziangalia kupitia moja katika links zetu zinazomilikiwa na kituo chetu cha kukuza soka kwa vijana nchini cha Orange Football Academy.

idadi kamili kujumuisha na official website yetu pamoja na ile ya youtube itafuatia siku zijazo.