WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Thursday 6 August 2015

KAMATI YA CENTRAL LEAGUE YAVUNJWA

Kamati inayosimamia mashindano yote ya soka ya vijana Wilaya ya Mjini imevunjwa. "Kamati tendaji ya zfa wilaya ya mjini leo imeivunja rasmi kamati hio kwa mujibu wa sheria baada ya kumalizika kwa muda wa kipindi cha uongozi wake "
Ni sehemu ya maelezo ambayo yamo kwenye barua kutoka Z F A Wilaya ya Mjini ambao ndio wenye mamlaka ya kuteuwa kamati hio ya vijana wilaya ya mjini barua hio imeandikwa kwa katibu wa central wilaya ya mjini anaemaliza muda wake pamoja na uongozi mzima wa kamati hio.

Uamuzi huo unaanza maramoja na uongozi mpya tunatarajia kujulikana hivi karibuni hasa kutokana na kuwa muda huu ni muda wa uhamisho na usajili wa wachezaji wa madaraja hayo,hivyo tunaamini Z.F.A itateua viongozi haraka iwezekanavyo ili kuweza kuendana sambamba na usajili pamoja kuanza ligi za madaraja hayo.