WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Monday, 30 April 2012

MATOKEO YA CAF CHAMPIONS LEAGUE

04-28-2012   ES Sahel  4-1 AF Amadou Diallo      
 
04-28-2012   EST  6-0 Dynamos     

 04-28-2012   MAS Fès  0-2 Zamalek    

 04-28-2012   Djoliba AC 1-1 Sunshine Stars    

 04-29-2012   TP Mazembe  2-0 Al Merreikh    

 04-29-2012   Stade Malien  1-0 Al Ahly    

 04-29-2012   El Hilal  1-1 ASO Chlef

 29/04/12   Berekum Chelsea  0-0  Coton Sport

SIMBA YAENDELEZA UBABE KWA WAPINZANI CAF

SIMBA kama kawaida yao katika michuano ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika (CAF) mwaka huu,imeendeleza kutoa dozi kwa wapinzani wake katika michuano hio baada ya jana kuizamisha Al Ahly Shandy ya Sudan kwa mabao 3-0.

Mchezo huo wa kwanza raundi ya pili ulifanyika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam na kuiweka kwenye mazingira mazuri Simba ya kufuzu hatua ya raundi ya tatu ambapo itasubiri kupangiwa timu zitakazokuwa zimetolewa raundi ya tatu ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Kama Simba itashinda hatua hiyo inayofuata itakuwa imeingia hatua ya makundi hivyo kuzidi kuitangaza nchi katika michuano ya kimataifa mwaka huu.

Ushindi wa jana umeifanya Simba kuendelea kutoa dozi kwa timu za ukanda wa Kiarabu baada ya hatua iliyopita kuitupa nje ya mashindano ES Setif ya Algeria, ambapo zilipokutana Uwanja wa Taifa, Simba ilishinda mabao 2-0 na ziliporudiana nchini Algeria Simba ilifungwa mabao 3-1, lakini ikasonga mbele kwa faida ya bao la ugenini.

Simba imethibitisha nguvu yake ya kuzitambia hapa nyumbani timu za Uarabuni, ambapo baadhi ya mechi hizo ni mwaka 1974 ilipoifunga Mehlala ya Misri bao 1-0. Timu nyingine zilizowahi kufungwa na Simba ni JET ya Algeria, Zamalek ya Misri ambayo ilivuliwa ubingwa wa Afrika mwaka 2003. Ilifungwa Dar es Salaam bao 1-0 nayo ikaenda kushinda Cairo, Misri bao 1-0, zikapigiana penalti Simba ikashinda 3-2.

Waarabu wengine waliowahi kuonja kipigo cha Simba ni Al Ahly ya Misri, ambayo ilifungwa mabao 2-1 Tanzania na ikashinda mabao 2-0 kwao mwaka 1985 na wengine ni Al Mokaoulun ya Misi ilifungwa Dar es Salaam mabao 3-1 ikashinda kwao mabao 2-0.

Katika mchezo wa jana, mabao ya Simba yalifungwa na Haruna Moshi dakika ya 68 na Patrick Mafisango dakika 76 kabla ya mshambuliaji wa Kimataifa wa Uganda Emmanuel Okwi kufunga bao la tatu dakika ya 90 , hivyo Simba sasa inahitaji sare katika mchezo wa marudiano au isifungwe zaidi ya mabao 2-0 ili isonge mbele.

Al Ahly Shandy iliyoingia hatua hiyo kwa kuitoa timu ya Ferroviario ya Msumbiji ilionekana kucheza kwa kuonana sana na kuilazimisha Simba kucheza kwenye lango lao muda mwingi wa kipindi cha kwanza.

Ilikaribia mara kadhaa kufunga lakini washambuliaji wa timu hiyo Faris Abdalla, Hamoud Bashir na Eltaueb hawakuwa makini kwani mashuti yao mengi waliyopiga aidha yalipaa juu ya lango au kuokolewa na kipa Juma Kaseja.

Dakika ya 25 mshambuliaji Felix Sunzu aliwazunguka mabeki wa Shandy ndani ya eneo la penalti, lakini mpira hafifu aliopiga haukuweza kulenga goli.Dakika mbili baadaye Shandy walijibu mapigo kwa mshambuliaji wake Fareed Mohamedi kupiga shuti kali akiwa nje ya 18 na kupaa juu ya lango la Simba.

Simba walipata penalti dakika ya 38 baada ya mshambuliaji Okwi aliyekuwa anakwenda kufunga kukwatuliwa na kipa wa Shandy Abdelrahman Ali na mwamuzi Nhleko Simanga kutoka Swaziland kutoa penalti, lakini kiungo Patrick Mafisango alikosa kwa mpira aliopiga kudakwa na kipa huyo.

MATOKEO KAMILI YA MICHUANO HIO NI KAMA HIVI:

04-27-2012   Enppi  3 - 1 C.O. Bamako
   
 04-28-2012   ASEC Abidjan  1 - 1 CO Meknes
     
 04-28-2012   Royal Leopards FC  0 - 1 Club Africain 
  
 04-29-2012   Warri Wolves FC  3 - 1 Black Leopards 
   
 04-29-2012   Heartland FC  3 - 2 AC Leopards   

 04-29-2012   Interclube  4 - 1 El Amal    

 04-29-2012   Wydad Casablanca  3-0 AS Real de Bamako

Saturday, 28 April 2012

TBL KUDHAMINI LIGI KUU ZANZIBAR

KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) imejitosa kudhamini Ligi Kuu Zanzibar msimu ujao 2012/2013 kwa kiasi cha Sh milioni 140.

TBL imetangaza kudhamini ligi hiyo kwa kutumia kinywaji chake kisicho na kilevi cha Grand Malt.

Meneja Masoko wa kinywaji hicho, Fimbo Butallah alisema jana mjini hapa wakati wa makabidhiano ya mkataba wa udhamini huo uliofanyika kwenye hoteli ya Bwawani.

Alisema wamesaini mkataba wa miaka mitatu kudhamini ligi hiyo na kwamba utagharimu Sh milioni 140 ambazo zitatumika katika mahitaji muhimu kwa timu shiriki yakiwemo usafiri, chakula na malazi, vifaa vya michezo na zawadi kwa washindi.

“Kwa mwaka huu wa kwanza, Grand Malt itatoa shilingi milioni 140,” alisema Meneja huyo na kuongeza kuwa kampuni yao itashirikiana na Serikali, Chama cha Soka Zanzibar (ZFA) na klabu bega kwa bega kuinua soka la Zanzibar.

“Tumepokea mzigo huu na tutashirikiana na wengine ambao watajitolea kudhamini ili kuleta mapinduzi makubwa katika soka la Zanzibar,” alisema.

Naye Makamu wa Rais wa ZFA Pemba, Ali Mohammed alisema wamefanikiwa kupata udhamini huo kutokana na mchakato mzima uliongozwa na Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo na uongozi wa ZFA ambao ulitoa fursa kwa kinywaji hicho kudhamini ligi hiyo.

“Fursa hii inatokana na ukweli kwamba wenzetu wana uzoefu mkubwa katika kuendeleza michezo mbalimbali,” alisema Mohammed na kusema kuwa ana imani kubwa kuwa ushirikiano huo wanaouanza utaleta ufanisi mkubwa katika ligi yao na kuahidi kuwa atazingatia masharti yote na matakwa ya mkataba na kutoa ushirikiano wa kweli katika kuendeleza michezo hapa Zanzibar.

Ligi kuu ya Zanzibar kwa sasa inashirikisha timu 12 ambazo ni Miembeni United, Miembeni SC, Kikwajuni, Mafunzo, Polisi, KMKM, Zimamoto, Mundu, Chuoni, Jamhuri, Chipukizi na Super Falcon.

WADHAMINI NA WAFADHILI WA VILABU VYA SOKA WEKEZENI FUNGU LA UFADHILI KATIKA TIMU ZA WATOTO NCHINI


Kituo cha Kukuza soka kwa vijana nchini ORANGE FOOTBALL ACADEMY kinatoa maoni yake kwa Wadhamini pamoja na wafadhili wa vilabu mbalimbali nchini kutenga fungu la udhamini wao katika vilabu wanavyovidhamini kwaajili ya vilabu vya timu ndoto za vilabu hivyo ili kwenda sambamba na utendaji wa ukuzaji,maendeleo  na uokoaji wa gharama za mara kwa mara za kununua wachezaji kutoka vilabu vingine au nje ya nchi kitu kinachopunguza uwezo wa vilabu katika kupanga mfumo wa uchezaji pamoja kitimu na kuwa na wachezaji bora nchini muda si mrefu kutoka sasa.
Katika kile ambacho kitaweza kutoa nyota wengi chipukizi nchini ambao ndio watakao liokoa Taifa kwa kutoa chipukizi wa rika mbalimbali wa Taifa ambao ndio waokozi wa soka nchini baada ya timu za Taifa kwa pande zote  kudorora kwa zaidi miaka 48 sasa.Upangiliaji wa timu za Taifa za Watoto ndio mfumo utakaowawezesha njota hao kuutumia wakiwa wakipanda katika timu kubwa ya Taifa.
Bado hatujachelewa kufanya hivyo lakini huenda tukachelewa sana kama hatutoanzia sasa kuujenga mfumo huo wa kujenga upya sambamba na  kukarabati soka nchini nzima kuanzia ngazi za watoto.
HAYA HAPA CHINI NI MATUNDA YA KUWA NA TIMU ZA VIJANA AMBAPO WADHAMINI NA WAFADHILI WA VILABU KATIKA NCHI ZILIZOENDELEA KISOKA WANAVYOFANYA KATIKA KUPATA NYOTA WAO WA TAIFA PAMOJA NA VILABU .
LEO HII TUNAANZA NA NYOTA NDOGO KUTOKA NCHINI NIGERIA.  
Habeeb Omobolaji Adekanye

(3)  Fc Barçelona 2011
(2) Ajax Amsterdam 2007
(1)  VV Alphia 2006/2007
Date of Birth: 14th Feb,1999
Place of Birth: Ibadan Oyo State
Place of Birth: Ibadan Oyo State
Country: Nigeria
School: De Stromen
Klas: Group 7
Club (2): Ajax Amsterdam(2007-)
Club (3) Fc Barçelon (07-2011)
Possition: leftwinger
Both Foots: left and right
.........................

Ajax Amsterdam Youth Academy D2 2010-2011
Ajax Amsterdam E1 2009-2010
Ajax Amsterdam E2 2008-2009
Ajax Amsterdam F1 2007-2008
Bobby-Denis Bergkamp
Luis Suarez-Bobby
Littel Super Star Bobby-Sulejman
Future Super Star Bobby 11

DONGOU HAILED AS BETTER THAN LEONEL MESSI AT SAME AGE AT "LA MASIA"

16 year-old striker Jean Marie Dongou who recently starred for Barcelona at the Next Gen Series, described as the Champions League of youth football has been described as better than Lionel Messi at the same age. An amazing talent with limitless potential, Dongou is one of La Masia's latest stars to emerge. Many believe he will make his first team breakthrough within the next year.

Described by some as Africa’s answer to Lionel Messi, 16 year striker Jean-Marie Dongou is the first player since the Argentine to play and score for three age groups in one season at Barcelona’s youth academy. Now competing with players three years his senior, Dongou who can also operate as an attacking midfielder is strong, fast and has a natural eye for goal. Currently playing in the Canteria Division at La Masia, he has already featured for Barcelona B in the Segunda division. Some have stated that Dongou is better than Messi at his age.
Pep Guardiola is already an admirer of his talents and many believe he could feature in the first team within next year. Dongou played in the Samuel Eto’o foundation before moving to Barcelona to set up home at La Masia, at the age of 13 years-old, the same as Messi. While the Cameroonian is not similar in style to Messi, standing at 6 ft and being right-footed many people have drawn similarities to Didier Drogba and Romelu Lukaku. 
Since joining Barcelona,  Dongou has regularly surpassed the 30-goal mark in each of his seasons at the club. During his first season with ‘Infantil A’, in 2007/08, he scored over 70 goals in all competitions and scored 35 goals with Cadet A. Former youth coach Oscar Garcia has described Dongou as “His potential is limitless.” The prolific Dongou who turns 17 next month will be eligble to play for Spain by his 18th birthday, having lived there for five years.
In Dongou, Barcelona have uncovered a talent so rare that the Messi comparisons will be inevitable, despite the two playing styles bearing little if any resemblance. What should be noted is that over the next few years, Dongou will strike fear into defenders and looks to become a force at the very top of the game.
Samuel Eto’o seems to have started a long love story between Catalan giants F.C Barcelone and Cameroonian footballers. After bringing glory and leaving the club ,other Cameroonian players are already making fans and pundits excited. One of those Cameroonian players is 16 year old Jean Marie Dongou Tsafack- born on April 20,1995 . The fast -paced striker arrived La Masia- F.C Barcelone’s youth academy- at the tender age of 13 and with hardwork and drive immediatedly went into goal- scoring overdrive.
During the 2007/2008 season, he wowed; scoring 58 goals excluding those netted during friendlies. The following season, he found himself playing in three different categories and despite his opponents being older than him, he found the back of the net 35 times.In recent times, he has been leading his team to easy wins.
His performances have earned not only praises from his teammates and coaches they have also triggered  a steady avalanche of comparisons with greats like Samuel Eto’o and Argentinian whizkid Lionel Messi. Rumours are even rife that if there isn’t space for him rightaway in the senior team, he may be heading for Arsenal.
Despite the cascades of accolades,the budding serial goalscorer remains level-headed and keeps his eyes on the ball which is presently enriching his bag of football tricks so that the day he steps unto the pitch as a member of the senior team fans can quickly chant his name in the stands. Young Dongou is one of the players from Eto’o's sports academy.

Friday, 27 April 2012

ATHLETIC BILBAO VS ATHLETICO MADRID FAINALI EUROPER LEAGUE

Athletic Bilbao na Athletico Madrid zote za Spain zimeingia fainali ya michuano ya Europer League baada ya zote mbili kushinda katika mapambano yao.

Huku Bilbao ikiifunga Sporting Lisbon mabao 3-1 hivyo kulipiza kipigo ilichokipata wiki iliyopita ya mabao 2-1 na kuingia Fainali ambapo itakutana na Ethletico Madrid ambayo wameichapa Valencia nyumbani kwa bao 1-0 katika pambano la pili nyumbani kwa Valencia ambao kabla walipata kichapo cha mabao 4-2 mjini Madrid na kfanya matokeo ya mechi zote mbili kuwa 5-2.

Mabao ya Bilbao yalifungwa na Susaeta katika dakika ya 17,Gomez dakika ya 45 na Llorente dakika ya 88 na lile la Athletico Madrid lilifungwa na Adrian katika dakika ya 60.

Thursday, 26 April 2012

BAYERN MÜNCHEN VS CHELSEA FINAL

Bayern münchen jana iliiingia fainali za michuano ya Eufa Champions leagua baada ya kushinda kwa penalti 3-1 baada ya matokeo ya kawaida baada ya dakika 120 za pambano hilo kuwa Real Madrid kushinda mabao 2-1 idadi sawa na Wapinzani wao waliyoshinda katika pambano la awali la nusu fainali la michuano hio.

Mabao ya Real Madrid katika pambano hilo yalifungwa na Ronaldo katika dakika za 6 kwa njia ya penalti na katika dakika ya 14, wakati lile la Bayern lilifungwa na Roben katika dakika ya 27 kwa penalti.
hadi dakika 120 mabao yalikuwa ni 2-1.

Bayern wameingia katika fainali watakazocheza katika uwanja wao wa nyumbani kwa penalti zilizofungwa na Alaba,Gomez na Schweinsteiger wakati Kroos na Lahm walikosa kwa upande wa Bayern,
Penalti ya Madrid ilifungwa na Alonso huku Ronaldo,Kaká na Ramos walipoteza penalti zao hivyo kuifanya Bayern kutinga Fainali hizo ambapo sasa watapambana na Chelsea katika uwanja wa Alliance ArenA.

Wednesday, 25 April 2012

ORANJE FOOTBALL ACADEMY YATOKA SULUHU

Mabingwa wa soka wa Zanzibar chini ya umri wa miaka 20 ORANJE FOOTBALL ACADEMY  imetoka sare ya 0-0 dhidi ya timu ya Arizona katika pambano gumu la ligi hio kuu ya vijana kituo cha Unguja.
Jumamosi ijayo asubuhi mabingwa hao watajitupa  tena katika kiwanja cha Mao tse Tung kupambana na Kwahani F.c katika pambano la tatu la michuano hio inayoendelea nchini.

SENEGAL SEE OFF OMAN TO REACH LONDON OLYMPIC

Senegal will participate in the Men’s Olympic Football Tournament for the first time in their history after beating Oman 2-0 in their play-off at the City of Coventry Stadium.
Ibrahima Balde’s opening goal after 90 seconds set Senegal on their way but the victory was not sealed until the closing minutes, when substitute Abdoulaye Sane converted to ensure his team’s place among the 16 teams entering the draw at Wembley on Tuesday.
 
Oman earned a place in the play-off by topping a round-robin tournament in the final stage of Asian qualifying, while Senegal’s second chance to reach the competition came after the West African side finished fourth at last year’s CAF U-23 Championship.
And it was the latter who took the first step towards London after securing a second-minute lead. Productive build-up play on the right-hand side earned the Senegalese a free-kick which was delivered to the back post, where Balde rose highest to head his team in front after just 90 seconds.
 
The Osasuna forward, operating on the left of an attacking Senegal line-up, almost turned provider minutes later but his low cross from edge of the penalty box was drilled wide by Sadio Mane. Oman were struggling to impose themselves in the final third, with their only sight of goal a shot dragged well wide by captain Hussain Al Hadhri on the quarter-hour mark.
 
With central midfielders Stephane Badji and Ibrahima Seck providing a solid platform for Senegal to push forward, Balde
and Moussa Konate made ground down either flank to give strong striker Kalidou Yero several opportunities. Sadio Mane and Konate also tested Oman goalkeeper Omer Al Abri after half an hour, as the Africans searched for a second goal.
Oman offered a reminder of their threat on 40 minutes when a long-range effort from wide-man Mohamed Al Maashari had Senegal keeper Ousmane Mane worried but the 21-year-old’s looping strike eventually dropped onto the roof of the net. Balde almost doubled his and Senegal’s tally but his shot from six yards was beaten away by Al Abri in the last action of the opening period.
 
Sub seals London berth
Senegal begin the second half in similar fashion, with Yero drawing another smart save from Al Abri after Oman twice failed to clear their area satisfactorily. As the action became slightly scrappy but more stretched, the Asian side began to pose more problems on the counter-attack.
 
Al Maashari was released by a ball over the top on the hour mark and made the most of the room he was afforded but Al Hadhri narrowly missed his cross from the left. A minute later, Senegal tried to repeat the trick of their first goal but defender Kara Mbodji’s header was not as accurate as Balde’s and it drifted harmlessly over.
Oman coach Paul Le Guen decided to refresh his forward line, bringing on Hamood Al Sadi and Badar Bamasila for Abdul Al Maqbali and Ali Al Nahar respectively. The changes helped put Oman on the front foot and they came close twice in quick succession.
 
First, Waleed Al Saadi got behind the opposition defence but his shot from almost level with the goalline was too straight and was deflected behind. From the resulting corner, defender Mohammed Al Balushi produced a carbon copy attempt but suffered the same outcome.
 
Senegal held strong defensively, however, and they assured their place at the July/August tournament with three minutes left to play. Substitute Sane was played in down the right wing and his precise, placed finish had enough power to beat Al Abri, despite the goalkeeper’s fingertip touch.
The result means Senegal join Gabon, Morocco and Egypt as CAF representatives in London, while Oman will have to try again for a maiden Games appearance at the Rio de Janeiro edition in 2016.

CHELSEA YAINGIA FAINALI YA EUFA CHAMPIONS LEAGUE

Katika kile kisicho tarajiwa na wengi Chelsea imetumia vizuri nafasi mbizi za mashambilizi ya haraka ambayo yalitosha kuiondoa Fc Barçelona nje ya michuano ya Eufa Champions League baada ya kutoka sare ya mabao 2-2 katika pambano lililotawaliwa na Wacataluná kwa vipindi vyote viwili.

Huku ikicheza ikiwa pungufu Chelsea ambayo nahodha wao John Terry alieonyeshwa kadi nyekundu katika kipindi cha kwanza iliifanya Barçelona kuongoza kwa mabao 2-0 kwa mabao yaliyofungwa na Busquets 35 na Iniesta 43 huku bao la kwanza la Chelsea lililofungwa na Ramires katika dakika  ya Ramires 45 liliweza kutoa matumaini kwa Chelsea kuweza kuzidisha ulinzi hadi walipopata nafasi yao ya mwisho katika dakika ya 90 ambapo Fernando Torres aliweza kuisawazishia Chelsea bao muhimu lililowavua ubingwa

Fc Barçelona ambao katika pambano hilo la nusu fainali iliweza kutawala pambano hilo kila wizara na kuwafanya Chelsea kubakia ndani ya sanduku lao la adhabu kwa muda mwingi wa pambano hilo ambapo Barçelona haitoweza kusahau kwa muda huu kutoka na kupoteza matumani ya ubingwa wa La Liga matumaini pekee yalikuwa ni kurejesha ubingwa wao na kucheza soka kama kawaida yao la kijipatia mabao mawili muhimu iliyokuwa ikihitajia.

Mbali na kuongoza mabao 2-0 pamoja na Chelsea kucheza wakiwa pungufu kiwanjani kwa muda mrefu wa pambano hilo lakina nafasi kubwa zaidi ya kulimaliza pambano hilo katika dakika ya 48 ambapo Messi alipoteza penalti kwa kugongesha nguzo hivyo hadi mwisho wa pambano hilo Chelsea iliingia fainali kwa jumla ya mabao 3-2.

Monday, 23 April 2012

O.F.A YATOA PONGEZI KWA MH WAZIRI WA HABARI,UTAMADUNI,UTALII NA MICHEZO

Kituo cha kukusa soka kwa vijana nchini  ORANJE FOOTBALL ACADEMY kinatoa pongezi zake za dhati kwa Waziri wa Habari,Utamaduni,Utalii na MICHEZO Mh Said Ali Mbarouk kwa juhudi zake za makusudi za kiutendaji katika upande wa michezo.katika hatua yake ya kuanza kufuatilia mwenyewe shuhuli muhimu za maendeleo ya michezo na kuanza kutoa visomo vya manufaa na vyenye kuonyesha mwamko wa kuleta mapinduzi na maendeleo ya soka nchini Zanzibar.

Katika taarifa yake aliyoitoa katika uzinduzi wa michuano ya vijana ya jimbo la Magogoni "JIHADI CUP" michuano ambayo imeanzishwa na mwakilishi wa jimbo hilo Mh Abdillah Jihadi kwa lengo la kuibua vipaji jimboni humo  ambapo Mh Waziri amewataka Wadau wote nchini kuanza kufungua ukurasa mpya wa kujenga ushirikiano na Vyombo  vya soka vya  Zanzibar BTMZ na ZFA ili kuweza kuleta maendeleo nchini ili kukipa nafasi chama hicho kuanza Upya kujenga mikakati ya Kuleta Maendeleo ya soka ya Zanzibar kwa kipindi kifupi kijacho.

Pamoja na hatua yake hio pia Mh Waziri wa Michezo aliwataka wadau wote wenye mawazo mazuri  ambayo wanaona yataweza kuisaidia Zanzibar katika kufikia hatua nzuri katika soka watoe maoni yao kwa vyombo vinavyohisika na michezo Zanzibar ila tu aliwataka wadau hao kufuata sheria na kanuni za Nchi.

Pia Mh Waziri Said Ali Mbarouk alivitaka vilabu nchini kuviunga mkono vyombo  hivyo vya soka  na vinginevyo vyombo vya soka vya Zanzibar pia kushirikiana kikamilifu na vilabu na kufanya ushirikiano wa wadau wote kuanzia ngazi za Vilabu hadi Serikali.

Mbali na kituo kutoa shukurani kwa Mh Waziri wa Michezo Said Ali Mbarouk pia kituo chetu cha kukuza soka kwa vijana ORANJE FOOTBALL ACADEMY kinatoa pongezi kwa Mwakilishi wa Magogoni Mh Abdillah Jihadi kwa kujitokeza kuwa mfano wa kwanza katika safu ya viongozi wa Zanzibar kuonyesha kile ambacho Mh Rais na Makamo wa pili wa  Rais pamoja na Waziri wa Michezo wamekuwa wakikitilia mkazo mkubwa wa" kufufua soka ya Zanzibar".

Kituo chetu cha kukuza soka kwa vijana pia kinawaomba Wawakilishi na Wabunge wa UNGUJA NA PEMBA  kuanzisha mashindano kama hayo katika majimbo ya ili kwenda sambamba nchi nzima kuwa na mashindano kama hayo kwa muda ambao utakuwa umepangwa na vyombo vya soka vya Zanzibar ilikuweza kuifanya michuano hio kuwa ya kitaifa na ikiwezekana mabingwa wa michuano hio ya vijana wapambanishwe ili kuweza kumpata bingwa wa jimbo bora la Zanzibar ambapo michuano hio itakuwa ni kama mfano FA ya vijana wa Zanzibar.

Katika Hatua njingine Oranje Football Academy inatoa pongezi zake za dhati kwa chama cha soka cha ZFA kwa kuwataka vijana wanaoshiriki michuano hio kujituma na kuonyesha uwezo wao kwani makocha watapita na kufatilia michuano hio na kuweza kupata wachezaji wa timu za Taifa za U15, U17 na U20 ambao ndio watakajenga timu hizo na kuendelezwa kama nchi zote duniani zinavyofanya.

Hii ni moja ya hatua kubwa ambayo haijawahi kutokea hapo nyuma kwa viongozi wa juu wa ZFA kutilia mkazo suala la timu za Taifa za chipukizi kutoka miaka 15.

kutoka na majimbo yote ya Zanzibar kusheheni chipukizi wenye vipaji vikubwa hivi sasa ni wakati mzuri kwa Wabunge na Wawakilishi wa majimbo yote ya Zanzibar kuiga mfano wa Mh Abdillah Jihad ili kwenda sambamba na michuano hio kuwapata vijana nchini nzima kama wanavyofanya wenzetu kukusanya vipaji hata kama ni 100 au zaidi na kuwapatia mchujo hadi kufikia idadi ya kuwa na nyota bora wa Taifa kwa kila rika ambao ndio maendeleo yanayotakiwa kwa muda mfupi ujao.

Timu zinazoshiriki michuano ya Jihad Cup ni
New Africa,Eleven Fighters ,University,
Taifa Jipya,Sayari Fc,Danger Boys,
Grenada,Maisara Fc,na Super Eagle.

Sunday, 22 April 2012

NGORONGORO HEROES YAANZA VIZURI

TIMU ya soka ya Taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20 ‘Ngorongoro Heroes’ imejiweka kwenye mazingira mazuri ya kufuzu raundi inayofuata ya michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa vijana baada ya kuichapa Sudan mabao 3-1.

Ngorongoro iliumudu mchezo huo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam kwa asilimia kubwa huku wachezaji wake wakionesha staili mbalimbali za kuumiliki mpira na kujaribu kufunga mabao.

Thomas Ulimwengu alifungua pazia la mabao kwa timu hiyo baada ya kufunga katika dakika ya 15 kwa kumalizia krosi safi iliyopigwa na Simon Msuva. Mchezaji Ramadhani Singano alifunga bao la pili baada ya kupewa pasi na Ulimwengu kabla ya kuumalizia nyavuni katika dakika ya 20.

Baada ya kwenda mapumziko ikiwa mbele kwa mabao 2-0, Ngorongoro ilianza kipindi cha pili kwa kasi na kulishambulia lango la Sudan. Mchezaji Simon Msuva aliiongezea Ngorongoro Heroes goli la tatu kwa kichwa dakika ya 69 baada ya kuunganisha mpira wa kona.

Sudan ilipata bao lake dakika ya 89 kupitia kwa mchezaji Sharafeldin Shaiboub.

MATOKEO MENGINE YA MICHUANO HIO NI KAMA HIVI IFUATAVYO:

Tanzania  - Sudan 3-1

Morocco - Mauritania 5-0

Namibia - Rwanda 0-2

Uganda - Mozambique 4-0

Zimbabwe  -  Botswana  4-0

BORUSSIA DORTMUND MABINGWA TENA BUNDESLIGA 2011/2012


Borussia Dortmund imetwaa ubingwa wa soka wa Ujerumani kwa mwaka wa pili mfulululizo baada ya kuwachapa Borussia Monchingladbach jumla ya mabao 2-0 katika pambano kali lililohudhuriwa na mashabiki elfu 80 katika uwanja wa nyumbani wa mabingwa hao wa Signal Iduna Park.

walikuwa ni Perisic aliepachika bao la kwanza katika dakika ya 23 wakati lile la pili lilifungwa na kiungo mkali kuliko wote kwa wakati huu katika ligi ya ujerumani mjapani Shinji Kagawa alipigilia msumari wa ubingwa wa timu yake katika dakika ya 59 ya pambano hilo.

Wednesday, 18 April 2012

CHELSEA YASHINDA 1-0 DHIDI YA BARÇELONA

Chelsea imetumia vizuri kati ya nafasi kiduchu ilizopata katika lango la Barçelona na kushinda bao 1-0 katika pambano la nusu fainali hivyo kuifanya Chelsea kuwa nusu njia kuelekea katika fainali za michuano ya Eufa Champions League.
Katika pambano hilo Barçelona walitawala vipindi vyote viwili ambapo walikosa nafasi nyingi za wazi za kuweza kukomboa bao hilo ambalo lilifungwa na Drogba katika dakika za majeruhi za kipindi cha kwanza.

MAXIMO ASHAURI KUUNDWA KWA TIMU ZA TAIFA ZA WATOTO NCHINI

Anna Nkinda,  Brazil
KLABU za soka nchini zimeshauriwa kuwekeza kwenye timu za vijana na watoto wenye umri kuanzia miaka nane ili kuja kupata timu bora ya taifa miaka ya mbele.

Wito huo umetolewa jana na aliyekuwa Kocha Mkuu wa Taifa Star, Marcio Maximo wakati akiongea na waandishi wa habari mjini Sao Paul.

Maximo alisema kuwa timu nyingi ambazo ni bora na zinafanya vizuri kwenye mashindano kutokana na kuwaandaa mapema na muda mrefu watoto wenye vipaji vya mchezo huo ambao ndio wanaotunzwa na kupandishwa hadi kufikia katika timu kubwa ya Taifa ya nchi au timu kubwa za vilabu.

Kuhusiana na uvumi ulioenea kuwa anataka  kwenda kufundisha timu za Taifa Stars, Azam au Yanga alisema hakuna ukweli kwenye taarifa hizo kwani kwa sasa ana mkataba wa kufundisha timu ya Democrata.
“Timu ya Taifa Star ina kocha mzuri ambaye namuheshimu na kukubali ufundishaji. Nina imani kupitia kocha huyo Watanzania watazidi kuendelea katika soka na kufika mbali zaidi”, alisema.

Mwalimu huyo wa zamani wa Taifa Stars alisema bado ana mawasiliano mazuri na Watanzania na anajivunia na kujisikia kama Tanzania ni nchi yake ya pili.

Hata hivyo pamoja na kauli hiyo ya Maximo, tangu kuwasilia kwa Kocha Jan Poulsen, Tanzania imeendelea kuporomoka viwango kila mwezi, ambapo sasa inashika nafasi ya 145 kwa mujibu wa orodha ya viwango vya ubora iliyotolewa na Shirikisho la Soka Ulimwenguni (Fifa) mwezi huu.

Tuesday, 17 April 2012

BAYERN MÜNCHEN YAIFUNGA MADRID 2-1

bayern München imeutumia vizuri uwanja wake wa nyumbani kwa kuifunga Real Madrid jumla ya mabao
 2-1 katika pambano la awali la nusu fainali ya Eufa Champions League.
hata hivyo Real Madrid bado ina nafasi nzuri ya kusonga mbele katika michuano hio kutokana na bao la ugenini kama Bayern haitozuwia ushindi wao huo ambavyo dhahiri haitokuwa rahisi kwa Madrid katika pambano hilo kutokana na Bayern kuhakikisha inafanya vizuri katika pambano hilo ili kuweza kusonga mbele Fainali itakayochezewa katika uwanja wao wa nyumbani.
mabao ya Bayern yalifungwa na Ribery  na Mario Gomez ambae anaongoza kwa ufungaji wa mabao 12 katika michuano hio pia huku akifatiwa na Messi wa Barçelona akiwa na mabao 11.
Bao la Madrid lilifungwa na Ozil.

Sunday, 15 April 2012

ORANJE FOOTBALL ACADEMY YAANZA VIZURI KUTETEA UBINGWA

Mabingwa wa soka wa Zanzibar kwa vijana wenye umri chini ya mika 20 ORANJE FOOTBALL ACADEMY leo wameanza vyema kampeni za kutetea ubingwa wao baada ya kuilaza  LEEDS  UNITED kwa bao 1-0 katika pambano ambalo vijana wa O.F.A walionekana kuwa chini ya kiwango chao cha kawaida.
Pamoja na kucheza chini ya kiwango chipukizi wa O.F.A waliandika bao hilo muhimu kupitia kwa Yunus Abdalla katika mechi zinazoshirikisha timu 6 bora.

Katika mechi ya mwisho hatua ya makundi ambapo Leeds walikuwa ni washindi wa kwanza wa kundi hilo waliweza kuwafunga O.F.A jumla ya mabao 3-1 hivyo katika pambano la leo ilikuwa ni muhimu la kuanza kampeni ya kumpata bingwa wa Zanzibar kituo cha  Unguja kabla ya kuwapata wawakilishi wanaozikutanisha timu kutoka kituo cha Pemba na kumpata bingwa Zanzibar ubingwa ambao hivi unashikiliwa na Vijana wa O.F.A.   

Monday, 9 April 2012

CAF CONFEDERATION CUP FIXTURES AND RESULTS

Results and fixtures for the 2012 African Confederation Cup.

Holders: MAS of Morocco

Third Round fixtures

27-29/04/12: Asec Mimosas (Ivory Coast) v CO Meknes (Morocco)
11-13/5/12: CO Meknes (Morocco) v Asec Mimosas (Ivory Coast)
27-29/04/12: Warri Wolves (Nigeria) v Black Leopards (South Africa)
11-13/5/12: Black Leopards (South Africa) v Warri Wolves (Nigeria)
27-29/04/12: Royal Leopards (Swaziland) v Club Africain (Tunisia)
11-13/5/12: Club Africain (Tunisia) v Royal Leopards (Swaziland)
27-29/04/12: Simba (Tanzania) v Al Ahly Shandy (Sudan)
11-13/5/12: Al Ahly Shandy (Sudan) v Simba (Tanzania)
27-29/04/12: Heartland (Nigeria) v AC Leopards (Congo Brazzaville)
11-13/5/12: AC Leopards (Congo Brazzaville) v Heartland (Nigeria)
27-29/04/12: Enppi (Egypt) v CO Bamako (Mali)
11-13/5/12: CO Bamako (Mali) v Enppi (Egypt)
27-29/04/12: Wydad Casablanca (Morocco) v AS Real de Bamako (Mali)/Gamtel (Gambia)
11-13/5/12: AS Real de Bamako (Mali)/Gamtel (Gambia) v Wydad Casablanca (Morocco)
27-29/04/12: InterClube (Angola) v Al Amal Otbara (Sudan)
11-13/5/12: Al Amal Otbara (Sudan) v InterClube (Angola)
....................................................

Second Round results:

23-25/03/12: Etoile Filante (Burkina Faso) 2-2 Asec Mimosas
06-08/04/12: Asec Mimosas (Ivory Coast) 2-0 Etoile Filante
Asec Mimosas advance 4-2 on aggregate
23-25/03/12: Sequence (Guinea) 0-2 CO Meknes
06-08/04/12: CO Meknes (Morocco) 3-0 Sequence
CO Meknes advance 5-0 on aggregate
23-25/03/12: Kallon (Sierra Leone) 0-0 Warri Wolves
06-08/04/12: Warri Wolves (Nigeria) 2-0 Kallon
Warri Wolves advance 2-0 on aggregate
23-25/03/12: Black Leopards (South Africa) 4-2 St Eloi Lupopo
06-08/04/12: St Eloi Lupopo (DR Congo) 2-2 Black Leopards
Black Leopards advance 6-4 on aggregate
23-25/03/12: Royal Leopards (Swaziland) 1-1 US Tshinkunku
06-08/04/12: US Tshinkunku (DR Congo) 1-2 Royal Leopards
Royal Leopards advance 3-2 on aggregate
23-25/03/12: St. George (Ethiopia) 1-1 Club Africain
06-08/04/12: Club Africain (Tunisia) 2-0 St. George
Club Africain advance 3-1 on aggregate
23-25/03/12: Simba (Tanzania) 2-0 Entente Setif
06-08/04/12: Entente Setif (Algeria) 3-1 Simba
3-3 on aggregate Simba advance on the away goals rule
23-25/03/12: Ferroviario de Maputo (Mozambique) 0-1 Al Ahly Shandy
06-08/04/12: Al Ahly Shandy (Sudan) 2-0 Ferroviario de Maputo
Al Ahly Shandy advance 3-0 on aggregate
23-25/03/12: US Haut Nkam (Cameroon) 0-0 Heartland
06-08/04/12: Heartland (Nigeria) 2-1 US Haut Nkam
Heartland advance 2-1 on aggregate
23-25/03/12: AC Leopards (Congo Brazzaville) 1-2 CS Sfaxien
06-08/04/12: CS Sfaxien (Tunisia) 0-2 AC Leopards
AC Leopards advance 3-2 on aggregate
23-25/03/12: Lydia LB Academic (Burundi) 1-1 Enppi
06-08/04/12: Enppi (Egypt) 4-1 Lydia LB Academic
Enppi advance 5-2 on aggregate
23-25/03/12: Renaissance (Chad) 3-2 CO Bamako
06-08/04/12: CO Bamako (Mali) 3-1 Renaissance
CO Bamako advance 5-4 on aggregate
23-25/03/12: Invincible Eleven (Liberia) 0-2 Wydad Casablanca
06-08/04/12: Wydad Casablanca (Morocco) 4-1 Invincible Eleven
Wydad Casablanca advance 6-1 on aggregate
23-25/03/12: Gamtel (Gambia) 1-1 AS Real de Bamako
09/04/12: AS Real de Bamako (Mali) v Gamtel
23-25/03/12: TANA (Madagascar) 2-0 InterClube
06-08/04/12: InterClube (Angola) 2-0 TANA
2-2 on aggregate InterClube advance 6-5 on penalties
23-25/03/12: Hwange (Zimbabwe) 1-1 Al Amal Otbara
06-08/04/12: Al Amal Otbara (Sudan) 0-0 Hwange
1-1 on aggregate Al Amal advance on the away goals rule

CAF CHAMPIONS LEAGUE RESULTS AND FIXTURES

Fixtures and Results for the 2012 African Champions League

Holders: Esperance of Tunisia

Third Round Fixtures:

27-29/04/12: Al Hilal (Sudan) v AS Chlef
11-13/05/12: AS Chlef (Algeria) v Al Hilal
27-29/04/12: MAS (Morocco) v Zamalek
11-13/05/12: Zamalek (Egypt) v Horoya
27-29/04/12: Etoile du Sahel (Tunisia) v AF Amadou Diallo
11-13/05/12: AF Amadou Diallo (Ivory Coast) v Etoile du Sahel
27-29/04/12: Tonnerre (Benin)/Stade Malien (Mali) v Al Ahly
11-13/05/12: Al Ahly (Egypt) v Tonnerre/Stade Malien
27-29/04/12: URA (Uganda)/Djoliba (Mali) v Sunshine Stars
11-13/05/12: Sunshine Stars (Nigeria) v URA/Djoliba
27-29/04/12: Esperance (Tunisia) v Dynamos
11-13/05/12: Dynamos (Zimbabwe) v Esperance
27-29/04/12: Berekum Chelsea (Ghana) v Coton Sport
11-13/05/12: Coton Sport (Cameroon) v Berekum Chelsea
27-29/04/12: TP Mazembe (DR Congo) v Al Merreikh
11-13/05/12: Al Merreikh (Sudan) v TP Mazembe
.......................................

Second Round Results:

23-25/03/12: AS Chlef (Algeria) 0-0 AS Vita Club
06-08/04/12: AS Vita Club (DR Congo) 2-3 AS Chlef
Chlef advance as 3-2 aggregate winners
23-25/03/12: DFC 9th Arrondissement (Central Africa) 0-3 Al Hilal
06-08/04/12: Al Hilal (Sudan) 5-1 DFC 9th Arrondissement
Al Hilal advance as 8-1 aggregate winners
23-25/03/12: Zamalek (Egypt) 1-0 Africa Sport
06-08/04/12: Africa Sport (Ivory Coast) 2-1 Zamalek
2-2 on aggregate Zamalek advance on the away goals rule
23-25/03/12: Horoya (Guinea) 1-1 MAS
06-08/04/12: MAS (Morocco) 3-0 Horoya
MAS advance as 4-1 aggregate winners
23-25/03/12: JSM Bejaia (Algeria) 1-2 AF Amadou Diallo
06-08/04/12: AF Amadou Diallo (Ivory Coast) 3-0 JSM Bejaia
AF Amadou Diallo advance as 5-1 aggregate winners
23-25/03/12: APR (Rwanda) 0-0 Etoile du Sahel
06-08/04/12: Etoile du Sahel (Tunisia) 3-2 APR
Etoile advance as 3-2 aggregate winners
23-25/03/12: Ethiopian Coffee (Ethiopia) 0-0 Al Ahly
06-08/04/12: Al Ahly (Egypt) 3-0 Ethiopian Coffee
Al Ahly advance as 3-0 aggregate winners
23-25/03/12: Tonnerre (Benin) 0-0 Stade Malien
06-08/04/12: Stade Malien (Mali) v Tonnerre
23-25/03/12: Recreativo de Libolo (Angola) 4-1 Sunshine Stars
06-08/04/12: Sunshine Stars (Nigeria) 3-0 Recreativo de Libolo
4-4 on aggregate Sunshine advance on away goals rule
23-25/03/12: URA (Uganda) 0-2 Djoliba
06-08/04/12: Djoliba (Mali) v URA
23-25/03/12: Muculmana de Maputo (Mozambique) 2-2 Dynamos
06-08/04/12: Dynamos (Zimbabwe) 1-0 Muculmana de Maputo
Dynamos advance as 3-2 winners
23-25/03/12: Brikama (Gambia) 1-1 Esperance
06-08/04/12: Esperance (Tunisia) 3-1 Brikama
Esperance advance as 4-2 aggregate winners
23-25/03/12: Dolphins (Nigeria) 2-1 Coton Sport
06-08/04/12: Coton Sport (Cameroon) 1-0 Dolphins
2-2 on aggregate Coton Sport advance on away goals rule
23-25/03/12: Berekum Chelsea (Ghana) 5-0 Raja Casablanca
06-08/04/12: Raja Casablanca (Morocco) 3-0 Berekum Chelsea
Berekum advance as 5-3 aggregate winners
23-25/03/12: FC Platinum (Zimbabwe) 2-2 Al Merreikh
06-08/04/12: Al Merreikh (Sudan) 3-0 FC Platinum
Al Merreikh advance as 5-2 winners
23-25/03/12: Power Dynamos (Zambia) 1-1 TP Mazembe
06-08/04/12: TP Mazembe (DR Congo) 6-0 Power Dynamos
TP Mazembe advance as 7-1 winners

Saturday, 7 April 2012

CELTICS MABINGWA SCOTLAND

Baada ya kusubiri miaka mitatu bila ya Ubingwa timu ya Celtics yenye makao makuu yake mjini Glasgow nchini Scotland imetwaa ubingwa wa nchi hio baada ya kuiadhibisha Kilmarnock nyumbani kwao  jumla ya mabao 0-6 .
Celtics ilionyesha dhamira ya kutwaa ubingwa huo katika dakika ya kwanza tokea kuanza kwa pambano hilo ambapo walitawala mchezo hadi mwisho wa pambano hilo.
Nyota kutoka Kenya Wanyama hakucheza pambano hilo baada ya kuonyeshwa kadi nyekundu wiki iliyopita dhidi ya mahasimu wao wakubwa Glasgow Rangers ambapo Rangers ilishinda kwa mabao 3-2.

Celtics ambao mashabiki wake waliufunika uwanja katika pande zote mbili za magoli pamoja na kujaza nusu ya jukwaa kuu na kuonekana kama vile wanachezea nyumbani na kuwaacha mashabiki kiduchu wa timu ya nyumbani ya Kilmarnock kupwaya na kuonekana kama hawapo kiwanjani kuishangilia timu yao ya nyumbani.

Mabao ya Celtics Rangers yalifungwa na Mulgrew dakika za 8, 35,Loovens 17,Hooper 45, 90
na Ledley katika dakika ya 88.

SAMATTA KUFANYA MAJARIBIO BENFICA YA URENO

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba ambaye hivi sasa anachezea TP Mazembe ya Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mbwana Samatta anatarajiwa kwenda nchini Ureno baadaye mwaka huu kwa ajili ya kufanya majaribio katika timu ya Benfica.

Taarifa hizo za kuhitajiwa kwa Samatta na klabu hiyo ya Benfica ambayo katikati ya wiki hii ilitolewa hatua ya robo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na Chelsea, ilitolewa jana na aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wa African Lyon, Eduardo Almeida.

Almeida, ambaye ni raia wa Ureno aliwasili nchini jana kwa ziara ya wiki moja yenye lengo la kusaka na kuibua vipaji vya mchezo wa soka hapa nchini ili wapate nafasi ya kucheza soka la kulipwa barani Ulaya.

Alieleza kuwa maelezo zaidi kuhusiana na mshambuliaji huyo kwenda kufanya majaribio Benfica atayatoa leo atakapokutana na waandishi wa habari.

Kocha huyo aliyebobea katika kufundisha soka la vijana amekuja kumalizia kazi ya kusaka na kuibua vipaji vya soka hapa nchini aliyoiacha miaka mitatu iliyopita, wakati alipokuwa akiifundisha Lyon, chini ya usimamizi wa kituo cha kukuza na kuendeleza michezo cha Jack
Academy kilichopo Mbagala jijini Dar es Salaam.

Akizungumzia ujio wake mara baada ya kuwasili Dar es Salaam jana, Almeida alisema amekuja nchini kwa lengo la kutafuta vipaji na atashirikiana kikamilifu na wenyeji wake ili kuhakikisha milango inafunguka kwa Watanzania kwenda nje kucheza soka la kimataifa.

Kwa upande wake Jamal Kisongo ambaye ni Mkurugenzi wa kituo cha Jack, alisema hii ni nafasi nyingine kwa vijana wa Tanzania wanaochipukia katika mchezo wa soka kuonesha uwezo ili waweze kupata fursa ya kwenda kucheza soka la kimataifa barani Ulaya.

Kocha Almeida amewahi kuzifundisha timu mbali mbali za vijana za Ureno ikiwemo timu ya vijana wa chini ya umri wa miaka 17 ya Benfica na hivi karibuni amemaliza mkataba wa kuifundisha timu ya soka ya Naval inayoshiriki ligi kuu nchini Ureno.

Samatta hivi sasa anang’ara na TP Mazembe aliyojiunga nayo Juni mwaka jana akitokea Simba, ambayo alichezea msimu mmoja akitokea African Lyon aliyoshiriki kuipandisha kutoka ligi daraja la kwanza hadi Ligi Kuu.
African Lyon ilikuwa ikijulikana kama Mbagala Market wakati ikiwa daraja la chini.

(habari hii inatoka katika gazeti la Habari leo).

ORANJE FOOTBALL ACADEMY INAMTAKIA SAMATTA KILA LA KHERI  KATIKA MAJARIBIO YAKE.

SIMBA YAPETA CAF


EMMANUEL Arnold Okwi jana aliifungia Simba bao katika dakika ya 90 ya mchezo kati ya Wekundu wa Msimbazi na Setif ya Algeria, lililoivusha timu yake katika hatua nyingine ya michuano ya Kombe la Shirikisho (CAF).
Okwi alifunga bao hilo baada ya kuachia shuti kali lililokwenda wavuni moja kwa moja licha ya juhudi za kipa wa ES Setif, Mehdi Benhamoud, kulifuata na kuzima nderemo za washabiki wa klabu mwenyeji waliojazana kwenye Uwanja wa Stade 8 Mai 45 lilikochezwa pambano hilo.
Katika mchezo huo, Simba ilifungwa mabao 3-1 lakini inapita kwenda hatua nyingine kwa sababu ya faida ya bao la ugenini. Katika mechi ya kwanza iliyofanyika jijini Dar es Salaam wiki mbili zilizopita, Wekundu wa Msimbazi waliibuka na ushindi wa mabao 2-0.
Pambano hilo lilianza kwa kasi huku wenyeji wakionyesha uchu wa kusaka mabao lakini lilivurugika katika dakika ya 12 ya mchezo baada ya mlinzi tegemeo wa Simba, Juma Said Nyoso, kulimwa kadi nyekundu kwa madai ya kumpiga mchezaji wa Setif bila ya mpira.
Mabadiliko hayo yalimfanya Kocha Mkuu wa Simba, Milovan Cirkovic, kufanya mabadiliko ya kiuchezaji ambapo alimhamisha Patrick Mafisango kutoka kuwa kiungo wa ulinzi na kurudi nyuma kucheza kama mlinzi wa kati kuziba pengo la Nyoso.
Mabadiliko hayo yaliifanya Setif kutawala mchezo huo na dakika 20 baadaye, mshambuliaji hatari wa timu hiyo, Akram Djanit, akapachika bao la kwanza kwa timu yake.
Bao hilo lilitokana na mpira wa krosi uliopigwa kutoka winga ya kulia ya Setif na Djanit ambaye hakucheza mechi ya kwanza jijini Dar kwa sababu ya maumivu, akaunganisha mpira huo wavuni kwa mguu wa kulia.
Hadi timu zinakwenda mapumziko, matokeo yalikuwa 1-0.
Kipindi cha pili kilianza kwa kasi na iliwachukua dakika mbili tu Setif kuandika bao la pili kupitia kwa Djanit ambaye alivunja mtego wa kuotea wa walinzi wa Simba na kupachika bao kiufundi.
Hata hivyo, wakati akielekea kufunga bao hilo, Djanit aligongana na Juma Kaseja na kupoteza fahamu, jambo lililosababisha atolewe na nafasi yake kuchukuliwa na mchezaji mwingine.
Dakika nne baadaye, Setif waliandika bao la tatu kupitia kwa Adel Benmousa, ambaye alimalizia muvi nzuri iliyotokana na makosa ya mabeki wa Simba.
Kuona hivyo Milovan alifanya mabadiliko ya kuwatoa Salum Machaku na Amir Maftah na nafasi zao kuchukuliwa na Nassor Said Masoud na Victor Costa, mabadiliko ambayo yaliifanya ngome ya Simba kutulia zaidi.
Wakati watu wakidhani kwamba mpira utamalizika kwa matokeo hayo ya 3-0, Okwi alifunga bao kutoka umbali wa mita 25 kutoka golini.
Baada ya kupokea pasi kutoka kwa Shomari Kapombe, Okwi aliwapita walinzi wawili wa Setif na baada ya Felix Sunzu kukimbia kutoka alikokuwa, walinzi wa Setif waliacha nafasi na ndipo Okwi alipofumua shuti hilo kali lililokwenda wavuni.
Simba sasa inasubiri matokeo ya mechi kati ya Ferroviarro de Maputo ya Msumbiji na Al Ahly Shandy ya Sudan ambayo mshindi wake ndiyo atacheza naye baadaye mwezi huu.
Simba iliwakilishwa na Kaseja, Kapombe, Maftah (Chollo), Nyoso, Yondani, Mafisango, Machaku (Costa), Kazimoto, Sunzu, Okwi na Boban.

KITENDO cha timu ya Simba kuifunga ES Setif ya Algeria kimevunja rekodi kadhaa za miaka ya nyuma na kudhihirisha ile dhana kwamba yenyewe ndiyo vinara wa Tanzania linapokuja suala la mechi za kimataifa.
Kwa kuanzia, imekuwa klabu ya kwanza ya Tanzania kuitoa timu kutoka Afrika Kaskazini tangu yenyewe ilipofanya hivyo kwa Zamalek ya Misri mwaka 2002.
Pia, imekuwa klabu ya kwanza ya Tanzania kuitoa klabu kutoka Algeria katika michuano ya Afrika tangu miaka 20 iliyopita wakati yenyewe tena ilipofanya hivyo kwa kuitoa USM AL Harrach.
Simba pia imekuwa timu ya kwanza katika kipindi cha miaka kumi iliyopita kufika katika raundi ya tatu ya Kombe la Shirikisho au michuano mingine yoyote mikubwa ya Afrika katika kipindi cha miaka kumi iliyopita.

MATOKEO MENGINE YA MICHUANO HIO NI

Warri Wolves (NGR) 2  FC Kallon (SLE) 0

St Eloi Lupopo (COD) 2  Black Leopards (RSA) 2

 ASEC Mimosas (CIV) 2  Etoile Filante (BUR) 0

Friday, 6 April 2012

FUFUENI SOKA YA ZANZIBAR 2

Katika mahojiano mengine kati ya wadau wa nje na Blog ya Oranje Football Academy kuhusu  changamoto za kufufua soka Zanzibar wiki hii inaendea kwa mdau kutoka Duisburg nchini Holland.
Haya hapa ni maelezo yake kuhusu kupata maendeleo:

1)kwanza kabisa napenda kutoa shukurani kwa blog hii kunipatia nafasi ya kuzungumza machache ambayo labda yanaweza kutoa msaada kwa ndugu zetu kuweza kufufua soka nchini kutokana na Serikali kuonekana suala hili sasa wameamua kulitaka kwa madhumuni ya maendeleo ya nchi.

Kwa ufupi soka ni mbali na kuwa ni starehe kama inavyozoeleka kujulikana na wengi bali ni uhusiano na urafiki kati ya mtu na mtu au watu wa kikundi na kikundi nchi na nchi au bara na bara hadi kufikia dunia nzima kujuana kutokana na soka.

Watu wengi hupata ajira sio tu kwa wachezaji bali hata kwa viongozi wa vikundi hivyo au vyama vinavyosimamia michezo hio na hata kupata mawaziri na wasimamiaji wakubwa kutoka serikalini kutokana na michezo huku soka ikibakia kuwa ni mchezo mkubwa unaobeba michezo yetu ndani ya nchi.

Kama kutakuwa kuna waziri au raisi wa michezo katika nchi na hakuna hata mchezo mmoja unaoleta manufaa yoyote kutokana na viongozi hao kutojua au kutojali kuwa "mkate wao wa kila siku" unatokana na michezo,nadhani hakuna faida kuwa na wizara za michezo na kulipa mishahara ya bure kwa wizara nzima pamoja na viongozi wanaosimamia  ngazi za michezo katika nchi.

Serikali imekuwa ikilipa mishahara wizara za michezo kwa miaka mingi sasa,lakini suala ni mchezo gani?
hakuna hata mara moja Serikali ilitaka kujua maendeleo ya kile inacholipia kila mwezi kwa watendaji kazi hao wakati hakuna hata mchezo mmoja ambao wizara hizo inafatilia au kutaka kujua maendeleo ya kazi zao zilizowaweka wizarani mwao.

Nadhani hivi sasa imefika wakati wahusika wote wakuu wa michezo nchini kufatilia kwa makini michezo yote ambayo ndio sababu za kuundwa kwa wizara na vyama hivyo kushirikiana kwa karibu na walengwa wanamichezo nchini ili kuweza kuleta mafanikio makubwa huku soka ikiwa ndio mchezo wa kwanza unaounganisha na kuwakilisha wanamichezo wengine kote duniani.

2) ili kuweza kuleta mafanikio ya soka nchini tuanze pia kuangalia tokea huko chini kwa timu zetu za watoto hadi kwa timu kubwa,
Kumekuwa na kawaida kwa miaka mingi kule nyumbani kuwa na usemi huu "uwanja wa jeshi,uwanja wa ujamaa,uwanja wa chipukizi,uwanja wa nyuki."

Hivi viwanja vyote vya mji mzima ni viwanja vya "BARAZA LA MJI WA ZANZIBAR" lakini kutoka na kuzoeleka kama ni uwanja wa timu fulani unazifanya timu hizo kuonekana kama kwamba kweli ni viwanja vyao walivyonunua na wanavimiliki kama ni wenye mali hizo,hivyo kuzinyima vilabu vingine kuvitumia kwani kuwa wachache huwa wanafikiria kuwa wana haki zote na wengine hawawezi kuvitumia viwanja hivyo.

"NADHANI HAKUNA HATA KLABU MOJA INAYOWEZAKUJENGA UKUTA AU KUCHIMBA HATA SHIMO DOGO NDANI YA ENEO LOLOTE AU KARIBU YA VIWANJA HIVYO". hapo ndio utakuwa uhusiano wao na Manispaa ya mji wa Zanzibar utafikia mwisho kati ya pande hizo mbili.
Tumeona hata maeneo mengine yanatumika kwa baraza la mji kuendesha shughuli nyingine zisizokuwa za soka kama siku kuu ,au mambo mengineo bila ya kujali klabu hio au hizo zipo katika ligi au hapana.

Hivi sasa kumekuwa na mafuriko ya timu za soka za watoto nchini Zanzibar kitu ambacho ni mawazo mazuri sana katika nchi kuwa na vijana wenye wenye lengo zuri la kutaka hapo baadae kuchezea vilabu vikubwa au kuliwakilisha taifa lao.

vijana hao wamekuwa hawapewi kipau mbele na wizara au vyama vinavyosimamia michezo nchini,lakini vijana hao wanapoamua kuwachana na michezo na kuanza kukaa mitaani kufanya mambo maovu,hapo ndio serikali huanza kuwashutumu vijana hao aidha kutumia madawa,au mengineyo lakini walikuwa ni vijana hao wako safi viwanjani hawakupewa umuhimu wowote kabla ya kuamua kufata njia mbaya sio takiwa.

Nadhani hivi sasa wakati umefika kwa wizara na vyama vinavyosimamia michezo nchini kuwasimamia na kuwaendelea vijana kabla ya Taifa kuingia katika hasara kwa vijana hao kuingia mitaani na kuanza uharibu kwa Taifa badala ya kulisaidia taifa.

Kwa hizi timu za vijana zinazoanzishwa kila mwezi pia sio sahihi kutokana na kuwa kila mwezi inabidi timu zinavunjwa ili kuanzisha timu nyingine, kuanzisha timu sio lengo la maendeleo bali lengo ni kuziendeleza timu zilizopo nchini ili ziweze kufikia katika hatua inayohitajika kitaifa na kimataifa.

Kutokana na mafuriko ya timu mpya kila siku hii inarejesha nyuma sana maendeleo ya soka nchini kwani kila siku inabidi kuanza tena upya badala ya kuendelea na ile iliyovunjwa kufikia katika kiwango kikubwa zaidi,
hii inatokana na kutokuwa na uongozi bora unaowasaidia vijana hao ili kuweza kufikia viwango vikubwa vinavyo takiwa kwa taifa letu.

Kutokana na wachezaji na viongozi wa timu hizo za vijana kuwa na wakati mgumu kwa kila upande kuanzia msaada kutoka wizara/vyama vya michezo na kutokuwa na wafadhili wa timu zao ndogo pamoja na timu kubwa kujichukulia wachezaji kutoka katika timu hizo bure na kutojali kuwa timu hizo hazina mapato wala mfadhili dhio hupelekea timu hizo kuvunjwa na hivyo ndio soka inavyodidimia kwenda chini.

Kutokana na kutowekwa sheria yoyote kwa timu kubwa ya daraja la juu inayochukua mchezaji aliechezea klabu yoyote ya watoto kwa mwaka mmoja,au zaidi ya mwaka mmoja inabidi ilipe kiasi fulani cha fedha kwa timu hizo za vijana kutoka na kutumia muda wao na gharama zao mifukoni mwao bila mfadhili au msaada wa serikali hivyo huwafanya viongozi wa timu za vijana kuchoshwa na masuala hayo kutoa wachezaji wao bure huku wao wakiwa wanajitolea tu kwa taifa katika kumjengea kijana kuwa msingi wa mwazo wa soka yake ambao ndio muhimu sana kwa kila mchezaji au elimu yoyote duniani.

Timu zote nchini zinashindwa kuanzisha timu za watoto kutokana na kuwa na gharama kubwa bila ya kuingiza kwa muda wao wote wanapokuwa na umri mdogo,
Suala ni je "mbona timu hizo hazioni kuwa wale wenye timu ndogo pia wanakabiliwa na yale ambayo wao hawawezi kuyafanya ya kuanzisha timu za watoto na hawaingizi kitu bali wanapoteza muda mwingi na gharama zao kuzalisha nyota ambao ndio wanazozitumikia timu zao tokea kuanzishwa kwa soka nchini"? .

Nadhani imefikia wakati sasa Serikali/vyama vya soka husika na kuanzisha sherika kwa mchezaji yoyote mwenye umri fulani kutoka timu fulani ya watoto alipiwe ada fulani kutokana na ada ya gharama za mafundisho kwa mchezaji huyo kwa miaka aliyokuwepo katika timu hio ndogo pia walipe ada ya uhamisho kwa klabu hio ndogo hii itawiana kidogo na kuwapa moyo wafundisha wa vilabu vya watoto kuweza kupata gharama za vilabu vyao kwa wachezaji wao na kuzitumia gharama hizo kwa kuwatengeneza vijana wengine.

Kama vilabu vikubwa vina uwezo kuchukua wachezaji kutoka nje ya nchi kwa beo ambayo wanapangiwa na ile timu anayotoka mchezaji,pamoja na gharama za mchezaji ,je inakuwaje kusiwe na ada za kumlipia mchezaji mdogo gharama zake za mafunzo alizokuwepo katika klabu ya watoto kwa miaka fulani aliyofundishwa na kugharimu sio tu posho ndogo ndogo pia gharama za chakula wakati wa mechi au kambi zao,usafiri,vifaa wanavyopewa kwa mazoezi na mechi,ni gharama ambazo inabidi zirejeshwe kwa vilabu husika ili kuweza kuwapa nguvu viongozi wao waweze kulisaidia taifa.

3) katika hatua nyingine ukiondoa hii ya vijana kwa upande wa vilabu vikubwa inabidi kila klabu ilazimishwe kuwa na timu za watoto 4 hadi 5 wenye umri mbali mbali,na vilabu hivi timu zao hizo ndogo zitachuana katika ligi kama vile timu zao kubwa zinavyocheza ligi. Aidha kila klabu itanufaika na kupata wachezaji wake kutoka katika klabu zao hizo ndogo hivyo kuepuka gharama za kununua wachezaji kutoka sehemu nyingine suala ambalo ni gumu kwa timu za Zanzibar kufanya hivyo kutokana na kutokuwa na wafadhili,hivyo njia hii ya kuwa na timu zao wenyewe wataweza kuziba lile pengo la kununulia wachezaji na kuwalipa mishahara mikubwa kama vile wakiwa na wachezaji wenyewe wa timu zao ndogo.

Aidha Serikali/vyama vya soka husika vitoe sheria kwa kila timu itakayo sajiliwa katika daraja la 1,2,na 3 ni lazima wawe na timu 4 au 5 za watoto, hivyo moja kwa moja vile vilabu vya watoto vitajikuta vyote vimegawanyika katika mfumo wa timu hizo nchini,hivyo hakutokuwa na timu iliyozidi kuwa haina timu kubwa,timu kama hio ya watoto isiokuwa na timu kubwa ya kuiwakilisha na kuwafanya wachezaji wake kwenda moja kwa moja kuichezea timu hio inabidi wapeleke jina la na barua yenye sahihi ya mfadhili wao ambae ataweza kuifanya timu hio kuendelea kwa miaka fulani hadi kujitegemea wenyewe kuwa moja ya timu za madaraja ya juu ili kuepusha timu yoyote ya vijana kuvunjwa vunjwa ovyo kama ilivyo sasa hivi.


Kuwekwe sheria kutoka Wizara ya michezo/vyama vya soka husika kila timu inayomiliki uwanja ( uwanja wa ??????) ambzo timu hizo zipo katika madaraja matatu ya juu kabisa katika soka nchini inabidi uwanja huo utumike sambamba na timu zake ndogo ambapo kila timu inachagua ni timu ipi ya watoto kati ya zilizopo huko chini watazichukua kuwa timu zao,

Karibuni viwanja vya timu hizo vinatumiwa pia na timu za watoto hivyo wanaweza kukubadiliana kuwa moja kwa moja kuwa ni timu zao ndog, kwa timu za central na junior pamoja na juvenile baadhi yao zinaweza kuungana kuwa mfumo wa timu moja za madaraja hayo kujiunga na timu kubwa yenye uwanja wake hivyo kuzifanya timu hizo zote moja kwa moja kuwa wawakilishi wa timu yao kubwa.

Pamoja na manufaa ya kupunguza gharama kwa timu kubwa vilevile itavisaidia vilabu vya Zanzibar kuwa na mfumo mmoja sambamba na vilabu vya nchi zilizoendelea kisoka na hii ndio itakuwa mkombozi wa soka nchini. kwa mchezaji ambae atakuwa chini ya timu kubwa inayoiwakilisha timu zake za watoto kama akichukuliwa na timu nyingine akiwa na umri mgodo kabla ya kuiwakilisha timu kubwa kuwekwe ada ya malipo kwa timu hizo kubwa ili kuweza kufanya uhamisho kwa Scouting zao ziwe katika ubora ili kuondoa utata kuwa mchezaji huyo ni mdogo hivyo anaweza kwenda kiholela timu nyingine.

Kwa maana hio vilabu vikubwa vitanufaika na kuwatumia kuwatumia wachezaji wake wote wa timu ndogo katika ligi kama wakihitajia kufanya hivyo wachezaji hao wadogo  ambao usajili wake utakwenda sambamba na timu kubwa itaweza kutoa muundo mmoja wa mzuri wa hali ya juu kwa timu kubwa kuwatumia wachezaji wadogo,na wachezaji hao wadogo watapata nafasi ya ushindani wa kujiweka katika hatua bora sana katika soka hivyo kuinua na kutaifanya soka yetu nchini kuwa katika hali ya juu muda mfupi.

Kila mchezaji wa daraja la chini wa klabu anaruhusiwa kuchezea daraja la juu yake wakati wowote,kwa vile wote wamesajiliwa na timu ya klabu moja.

Kuwa na michuano ya timu za watoto za vilabu kutatoa sio tu msisimko wa mashindano hayo kwa vijana,bali kutaanza kuwajenga vijana huko chini mfumo wa ushindani kama walivyo wakubwa zao katika madaraja ya Primier League na madaraja mawili chini yake.

Nadhani kuna timu nyingi za vijana ambao wanajiendesha wenyewe,haitokuwa kazi kubwa kwao kujiunga na timu kubwa hivyo kuwa na uhakika wachezaji wao watakuwa wakipanda ngazi kutoka timu zao ndogo hadi kufikia daraja kubwa,isipokuwa viongozi wa timu hizo ndogo watahitajia nguvu za pamoja na wenzao wa timu kubwa ili kuweza kuunda nguvu moja ya uhakika ya kuweza kuleta mapinduzi ya soka kwa kila timu kujijengea kiwanda chake wenyewe cha wachezaji ambapo pia wataweza kuwauza kwa timu nyingine za nje ya nchi na kujitengenezea zaidi kipato katika vilabu vyao.

Nadhani hakuna klabu kubwa yoyote ambayo itakataa baada ya wachezaji wake wa kawaida iliowasajili kwa msimu kuweza kuwatumia wachezaji wake chipukizi wa timu zake ndogo katika ligi au mashindano mengine yoyote ya klabu hio kama sheria itaamua kfanya hivyo, timu za mataifa yaliyoendelea zinafanya hivyo na sisi pia hilo sio suala kubwa kama hatuwezi kulifanya, tumeona timu kubwa baadhi ya nchi kila mechi wanatia yosso mpya au hata nusu ya timu kuwachezesha wachezaji wadogo ili kuwapumzisha nyota wao wakubwa kutokana na aidha kukabiliwa na pambano kubwa mbele.

Mwisho kwa sasa vilabu vya watoto ambavyo viko katika hali nzuri ya kisoka inabidi kwa viongozi wahusika kuvichagua vile vinavyoanzishwa sasa na vile vilivyokuwa na viwango vizuri kutokuwa katika daraja moja ili kuokoa soka isiporomoke,
kama ni juvenile A ins timu kali,zile timu zilizo chini ya viwango ziwe Juvenile B,na zile zile zinazoanzishwa sasa zianzie kwa Juvenile C.

kwa mfano mshindi wa kwa kwanza wa Juvenile C atakwenda moja kwa moja Juvenile A kutokana na timu hii iliyoanzishwa kuonekena ni kali kulingana na uwezo itakaoonyesha tokea kuanzishwa kwake.
Washindi wa pili na watatu wa Juvenile C wakutane na washindi wa pili na wa tatu wa Juvenile B ili kuweza kuona kama kuna timu mbili zaidi kali zitakazo jumuisha kuongeza idadi ya timu za Juvenile A kuongeza timu kuwa na ushindani zaidi wa daraja hilo,

Bila ya hivyo timu zile kali za daraja hilo ukiziweka pamoja na timu inayoanzishwa group mitaani na kusajiliwa bila hata ya kuwa na uongozi,na pengine hakuna wafauatiliaji uongozi wa soka wa vyama madaraja ya chini unaopitia viwanjani kuangalia maendeleo ya vilabu hivyo kunaifanya timu hizo pengine kabla ya msimu kumalizika kuwa tayari zimezeeka na pengine msimu unaofata kutoonekana tena kiwanjani hivyo kuzaliwa tena timu mpya na hivyo kunapunguza nguvu na uwezo sawa na zile timu nzuri na kali za madaraja hayo hivyo kuzorotesha maendeleo ya soka nchini. hivyo ni kwa madaraja yote kutoka Juvenile,Junior na Central League.

Alimalizia mdau huyo kwa kusema, WIZARA YA HABARI,UTAMADUNI,UTALII, NA MICHEZO vitengo vyote hivyo vipo katika Wizara Moja na waziri mmoja na watendaji wake wote.
Lakini zinaonekana kama hazina uhusiano wa karibu katika utekelezaji au utendaji wao,inaonekana kila wizara inakuwa na kazi zake bila ya kushirikisha wizara nyingine.

Sidhani kama kuna uhusiano wowote kati ya Michezo au utamaduni na Utalii?wakati zote ni wizara moja,kwanini michezo kama karata,gololi,keram,dama hazipatiwi wasimamizi wao zikawa katika sura ya kiushindani ligi yao kama michezo ya soka na netiboli na kupatiwa sheria zao na kumbi zao na kuwavutia watalii kushiriki au kulipia nauli za viingilio kuona michezo ya utamaduni wetu?

Mchezo wa Gololi mbona ni sawa na mchezo wa CURLING unaoshirikisha mataifa ya duniani kama kombe la dunia na Olympic aliongeza mdau huyo,dhumna ni mchezo wa kuwashirikisha wachezaji kama  ligi huku wachezaji wao wakivaa jezi na makocha wao kumpata bingwa wa nchi,mchezo wa ngómbe ni mchezo maarufu kwa watalii kama wataweza kuupatia kiwanja chao na kuvutia watalii kuingia kwa viingilio na ni burudani tosha kwa watalii hao pia kutoa wachezaji wa timu ya taifa ya ngómbe ya Zanzibar kama michezo mingine ilivyo na kuwa na ligi yao sawa na ligi ya mchezo wa Kiumbizi na kadhalika.

Narejea kwa kusema inaonyesha wizara ya michezo,utamaduni,utalii na habari hazifanyi kazi moja kwani lengo letu kubwa ni vyombo hivyo kushirikia kama wizara ya habari kuandaa kipindi maalumu kwa ajili ya kuonyesha matukio ya soka kwa kila wiki yanayoshirikisha timu za watoto nchini,pia kutoa habari zao kila siku katika magazeti nchini hivyo kuipa sura wizara ya habari kuwa ipo pamoja na michezo kiutendaji.

Wizara ya Utalii kwanini kama Serikali imeamua kutaka Kufufua soka nchini wizra hio isibuni mbinu kama kuongeza dola moja kwa kila mtalii anapoingia nchi au anapotoka au kuongeza nusu dola kwa kila mtalii anapopangisha malazi yake katika hoteli za Zanzibar na Fedha hizo kutumika kwa michezo ya Zanzibar pamoja na utamaduni kwani sehemu hizo zinaonekana kutokuwa na kipato kutokana na kukosa wawekezaji?

Nadhani wizara ya Utalii haionekani kama inafanya kazi na wizara ya michezo au utamaduni,hivyo wizara kama hizo zinakuwa zipo kivuli tu na sio kiutendaji. kama kutakuweo mpango mzuri wa kupada ada kidogo kutoka utalii na kuwekeza katika soka ya Zanzibar basi ni wakati mzuri hivi sasa kufufua timu zote za taifa za vijana za Zanzibar kuanzia Juvenille hadi U20,

Aidha kunaweza kuwa na mpango maalum wa matembezi kwaajili ya kuchangia soka ya Zanzibar matembezi ambayo yawashirikishe viongozi na raia wa nchi pamoja na kuwaalika watalii wote waliopo nchini kushiriki matembezi hayo marefu pengine kutoka wilaya ya mjini magharibi hadi makunduchi yakiwa matembezi yenye sura ya kimataifa,viongozi wanaweza kupokezana baadhi ya kilomita na siku ya pili anaweza kuja kiongozi mwingine kumpokea na kuendelea na matembezi hayo na kama hivyo hadi kufikia mwisho wa matembezi ambapo atafutwe mdhamini wa kutoa zawadi kwa washindi 10 wa mwanzo wa jumla wa mashindano hayo watakaoshinda kila jua linapotua kwa muda wa siku 4 au 5.

Mpango kama huu nchi njingi zinafanya na kupata fedha nyingi na pia kufanya biashara nyingi katika vituo wanavyosimama  kwa mapumziko jioni ile hivyo pia kuvinufaisha vijiji vinavyopangwa washiriki kupumzikia,
mpango kama huo unaweza kuanza kwa watalii waliokuwepo nchini na kila mwaka utazidi kukua na mwisho kuwaalika washiriki kutoka pande zote duniani huku Zanzibar ikitangaza utalii wake kwa kutumia matembezi hayo marefu nchini yatakayokuwa na sura ya kimataifa na yakuvutia na kuweza kupata fedha kwaajili ya michezo na utamaduni nchini na hii itakuwa ni kama miundo mbinu ya kusaidia michezo Zanzibar.

timu ya Taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 13 itawashirikisha wale wachezaji wenye vipaji vikubwa katika madaraja hayo kwa mikoa yote ya unguja na pemba,na wachezaji hao ndio watakao kuwa wakitunzwa kwa lengo la kuwa ndio watakaokuwa wachezaji wa taifa wa U14 mwakani,na wale wa U14 watakwenda juu kwa mpango huo hadi U15 na wale wa daraja hilo watachupa juu hadi U16  mpaka kufikia U19 ambapo hapo tayari watakuwa ni wachezaji wa kutumikia timu ya Taifa ya vijana wa Zanzibar na timu kubwa ya Taifa.

Tmu hizo za Taifa za vijana ziwe zinapatiwa mechi kila mwisho wa mwezi na timu zilizo katika form nzuri katika madaraja yao,au kupambana na timu zilizowazidi daraja ili kutoa na kuwajenga kiupinzani,sambamba na kucheza mechi za kirafiki kila katika kalenda ya fifa ya mechi za timu za taifa hivyo itaanza kuwajenga wachezaji tokea umri mdogo kalenda hizo na kuanza kujipanga kimaendeleo kama wachezaji wadogo wa kimataifa wa baadae,pia kuwaombea mialiko ya timu za watoto kutoka nje kuja nchini au vijana wetu kwenda nje.ikiwezeka kuwe na mazungumzo kuwa na mpango wa kuanzisha mashindano ya timu za taifa za vijana kwa nchi za visiwa vinavyoizunguka bara la Afrika kwaajili ya kuwawezesha na kuwakuwa vijana wa visiwa hivyo sambamba na kushirikia kiutalii kati ya visiwa vya nchi hizo.
Lakini mpango huo utakuwa pale wizara ya utalii na habari zitakaposhirikiana kuweza kuwatangaza na pia kuandaa mpango wa kuipati kipato cha kuendelea wizara ya michezo ili iweze kusimamia mpango huu,
pamoja na hayo wadau wafanya biashara wajitokeze ili kuweza kuanza mpango huo wa vijana mara moja ili Zanzibar iweze kwenda sambamba na soka kwa nchi zilizoendelea duniani,na kwa mpango huo wachezaji wengi wataweza kuuzwa nje na nchi itanufaika na mapato ya wachezaji hao pamoja na maendeleo ya soka nchini.

Wafanya biashara wajitokeze kutangaza biashara zao kwa kuwatumia vijana wenye vipaji katika nembo zao za biashara ili vijana hao wanufaike na kuzidisha uwezo wao zaidi kwaajili ya kulisaidia taifa hapo baadae,

Alimalizia mdau huyo kwa kutoa maelekezo yake kwaajili ya kufufua na kuimarisha soka Zanzibar
Nashukuru sana kwa mchango huo nadhani unaweza labda kutoa picha fulani ambayo labda kule nyumbani wanaweza kuyafanyia kazi na kufufua soka nchini kama ambavyo viongozi wanataka kila Raia wake ahusike katika mchango wake wa kuleta maendeleo ya kufufua soka nchini.

Thursday, 5 April 2012

BARÇA VS CHELSEA, MADRID VS BEYERN

Chelsea itachuana na Fc Barcélona katika nusu fainali ya michuano ya Uefa Champions League baada timu zote kushinda mechi zao za mwisho za robo fainali.Huku Barça ikiitoa nje ya michuano Milan kwa mabao 3-1,chelsea nao wameiondoa Benfica kwa idadi hio ya mabao katika mechi mbili.
Real Madrid imeingia nusu fainali baada ya kuiadhibu Apoel Nicosia kwa jumla ya mabao 8-2 katika mechi mbili hivyo kuifanya timu hio kuongoza kwa mabao mengi katika michuano hio tokea ilipoanza sasa itakumbana na Fc Bayern München waandaaji wa fainali hizo,bayern imeichapa OL Marseille kwa jumla ya mabao 2-0 kwa kila mechi hivyo kuvuuka kwa jumla ya mabao 4-0.