WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Monday, 30 January 2012

CAN 2012 ROBO FAINALI CECAFA VS COSAFA

Sudan imeingia katika hatua ya robo fainali baada ya kuifunga Bukina Faso jumla ya mabao 2-1,
Katika pambano jingine Ivory coast imeichapa Angola kwa mabao 2-0 hivyo Sudan kusonga mbele kwa kuwa na idadi sawa ya point nne kila moja kati yake na Angola huku ikiziidi Angola kwa bao moja zaidi. Mabao ya Sudan yalifungwa na Mudather katika dakika za 33 na 80 na lile la Bukina faso lilifungwa na Dagano katika dakika ya 90.Mabao ya Ivory Coast yalifungwa na Eboué dakika ya 33 na Bony dakika ya 64.
Angola na Bukina Faso zimeyaaga mashindano wakati Ivory Coast sasa itachuana na wenyeji Equetorial Guinea na Sudan wawakilishi pekee wa Cecafa watakapochuana na wawakilishi wa Cosafa Zambia ambao pia ni wawakilishi pekee waliobakia kuvuuka katika hatua hio ya robo fainali wakati Botswana iliyobakiwa na mechi moja ikiwa haina matumaini yoyote ya kusonga mbele baada ya kufungwa mechi zao mbili za awali.

SENEGAL YAREJEA NYUMBANI BILA POINT MOJA

Zambia imetinga katika hatua ya Robo fainali ya Africa Nations Cup 2012 baada ya kuwafunga wenyeji washirika wa mashindano hayo Equetorial Guinea kwa bao 1-0 bao lililofungwa na nahodha wao Katongo katika dakika ya 67 hivyo Zambia wameingia hatua ya robo fainali kwa kuwa mshindi wa kwanza wa kundi hilo hivyo kuepuka kukutana na Ivory Coast ambayo sasa watakumbana na washindi wa pili Equetorial Guinea.

Senegal imeyaaga mashindano hayo ya Can 2012 kinyume na matarajio yao ya kutwaa Ubingwa pamoja na kuwa na kikosi kizito walichokipeleka katika mashindano hayo.
Libya 2-1 Senegal mabao yote ya Libya yalipachikwa na Albosefe katika za 5 na 84 bao la kufutia machozi la Senegal lilifungwa na N'Diaye dakika ya 11
Senegal imeyaaga mashindano na kurudi nyumbani bila hata ya kuwa na point moja baada ya kufungwa mechi zote tatu walizocheza.

Sunday, 29 January 2012

GHANA 2-0 MALI,GUINEA YAICHABANGA BOTWANA 6-1

Ghana imejiweka katika nafasi nzuri ya kucheza hatua ya robo fainali ya michuano ya CAN 2012 baada ya kuifunga Mali mabao 2-0 hivyo kujikusanyia jumala ya point 6 katika mechi mbili ilizocheza.Mabao ya Ghana yalifungwa na Gyan katika dakika ya 63 na Ayew 76.

Katika pambano jingine Guinea imeichabanga bila hunuma Botswana jumala ya mabao 6-1 katika uwanja wa Franceville,
mabao ya Guinea yalifungwa na
Diallo 15,27,
Camara 42,
Traore 45,
Bah 84,
Soumah Kalabane 86.
Bao pekee la Botswana amabo tayari wameyaaga mashindano baada ya kupoteza mechi zote mbili lilifungwa na Selolwane katika dakika ya 23 kwa njia ya penalti.
Ghana wamejiweka katika nafasi nzuri ya kusonga mbele baada ya kuwa na point 6,Guinea yenye point 3 na Mali point 3 na zote tatu zinauwezo wa kufikisha point 6 ambazo tayari zimefikiwa na Ghana hivyo kulifanya kundi hilo kusubiri hadi mechi ya mwisho kujua ni timu gani itasonga mbele hatua ya robo fainali.

Saturday, 28 January 2012

LIVERPOOL 2-1 MANCHESTER UNITED FA CUP

Liverpool imeingia katika raundi ya 5 ya FA cup maada yawafunga mahasimu wao wakubwa Manchester United kwa mabao 2-1. Agger aliipatia Liverpool bao la kwanza katika dakika ya 21 na Manchester walisawazisha bao hilo kwa bao lililofungwa na Park katika dakika ya 39 Kuyt iliipatia Liverpool bao la ushindi katika dakika ya 88 hivyo kuifanya "The Reds"kuzitupa timu zote mbili za Manchester "the citizen na Red Devils"nje mashindano ya Carling cup na FA cup ndani ya wiki moja.

katika pambano jingine la FA Chelsea imesonga mbele baada ya kuifunga Queens Park Rangers bao 1-0 bao lililofungwa na Mata kwa njia ya penalti katika dakika ya 69.

Tottenham 1-0 Watford Van Der Vaart alipachika bao hilo katika dakika 42,
Evertoon 2-1 Fulham mabao ya Evertoon yalifungwa na Stracqualursi katika dakika ya 27 na Fellaini katika dakika ya 73 wakati Murphy aliipachikia Fulham bao pekee kwa njia ya tuta katika dakika ya 14.

MORROCO,NIGER ZATUPWA NJE

Waandaaji washirika wa Africa Nations Cup 2012 Gabon wakicheza kwa ari kubwa huku walishangiliwa kwa nguvu zote kutoka kwa mashabiki wa nchi hio wameitupa nje ya michuano hio Morocco katika sekunde ya mwisho ya pambano hilo.
Ilionekana kama Morocco kupata nafuu ya sare baada ya nahodha wa nchi hio Kharja kusawazisha bao la pili kwa njea ya Penalti katika dakika ya 90 lakini vijana wa Gabon walipigana hadi sekunde ya mwisho na kuitupa morocco nje ya michuano hio kwa jumla ya mabao 3-2.
morocco ilikuwa ya kwanza kuandika bao katika dakika ya 24 bao lililofungwa na nahodha wao Kharja ambae pia alifunga bao la pili kwa njia ya penalti dakika ya 90 ya pambano hilo,na yale
mabao ya Gabon yalitundikwa na Aubameyang katika dakika ya 77 wakati bao la pili lilifungwa na Cousin katika dakika ya 79 kabla ya Mbananguayu kupiga freekick iliyokwenda pembeni kona ya kushoto ya goli la Morocco katika sekunde ya mwisho ya dakika 5 za nyongeza za pambano hilo hivyo kuihakikishia nchi hio kusonga mbele hatua ya Robo fainali.
Freekick kama ile muhimu ilipigwa na David Backham kati ya England dhidi ya Greece miaka kadhaa iliyopita na kuipatia ticket England ya kwenda katika kombe la dunia yaliyofanyika nchini Japan na South Korea ambapo Greece ilihitajia sare hadi dakika ya mwisho ilipotupwa nje.

Katika pambano jingine lililofanyika mapema kati ya Niger na Tunisia lilimalizika kwa Niger 1-2 Tunisia, mabao ya Tunisia yalifungwa na Msakni dakika ya 4 na Jemaa katika dakika ya 90 ya pambano hilo wakati bao la pekee la Niger lilifungwa kwa kichwa na Ngounou katika dakika ya 9.
Tunisia na Gabon zinasonga mbele zote zikiwa na point 6 baada ya kushinda mechi zao mbili huku morocco na Niger wakisubiri kukamilisha ratiba kwa mechi yao ya mwisho na kurejea njumbani.

Friday, 27 January 2012

MILAN YATINGA NUSU FAINALI COPPA ITALIA

Ac Milan imeingia nusu fainali ya Coppa Italia baada ya kuifunga Lazio Roma jumla ya mabao 3-1.Cissé alianza kuifungia Lazio bao la kwanza katika dakika ya 5 kabla ya Milan kuamka na kuanza kurejesha bao hilo.
Mabao ya Milan yalifungwa na Robinho katika dakika ya 15,Seedorf dakika ya 18 na Ibrahimovic katika dakika ya 84.Ac Milan itakumbana na Juventus katika pambano la nusu fainali baada ya Juve kuitoa A.S Roma nje ya michuano hio .

VALENCIA VS BARÇELONA COPA DEL REY

Valencia imeingia Nusu fainali ya Copa Del Rey la Spain baada kuichapa Levante kwa jumla ya mabao 3-0 katika pambano lililofanyika katika uwanja wa Levante wa Ciudad de Valencia.
Levante ambao ni wapinzani wa Valencia walio katika mji mmoja wa Valencia imetupwa nje ya michuano hio baada ya Valencia kushinda jumla ya mabao 7-1 katika mechi zote mbili.
mabao ya jana ya Valencia yalipachikwa na Adúriz 25 na Piatti 30, 85.
Kutokana na ushindi huo Valencia sasa itacheza na F.c Barçelona katika mechi ya nusu fainali.

ORANJE FOOTBALL ACADEMY YAENDELEA NA MAZOEZI

Oranje Football Academy iko katika mazoezi kujiandaa na ligi ambayo inatarajiwa kuanza hivi karibuni katika maandali yake imecheza mechi mbili za kirafiki mechi ya kwanza dhidi ya timu ya Shangani daraja la Junior katika kiwanja chao cha Shangani maeneo ya mnazi mmoja ambapo Shangani ilishinda magoli 2 - 1.
Mechi ya pili Dhidi Kikwajuni kwa wakubwa wa O.F.A mechi iliyofanyika katika kiwanja cha Kikwajuni ambapo O.F.A ilishinda jumla ya mabao 3 - 1 vijana wa O.F.A wanaendelea na mazoezi kama kawaida.
Wale Nyota 6 wa Oranje Football Academy katika timu ya taifa ya vijana ya Zanzibar chini ya umri wa miaka 17 waliondoka Jumaatano ya 25.01.2012 kwenda Dar kwaajili ya mechi 3 za timu B za vilabu vya Vodafone Primier League ziara ambayo ilikuwa ifanyike mwezi december mwaka jana lakini ikahairishwa kutokana na Mvua kubwa zilizokuwa zikinyesha katika mji wa Dar Es Salaam na kusababisha maafa pamoja nauharibu mkubwa wa mali.
......................................................................................................................
hii hapa ni marejeo ya habari za safari hio iliyokuwa ifanyike mwezi dec mwaka jana.

NYOTA 6 WA O.F.A KWENDA DAR NA TIMU YA U17 YA ZANZIBAR
Nyota 6 wa Orange Football Academy wameitwa katika timu ya Zanzibar ya Wachezaji Mchanganyiko wa timu za Central League wenye umri wa miaka 17 ambapo wanatarajiwa kwenda Dar Es Salaam kupambana na timu B za vilabu vya Vodacom Primier Leuague katika mechi za kirafiki zitakazofanyika katika uwanja wa Uhuru.Vyota hao wa kutegemewa wa O.F.A ni pamoja na nahodha Muhene Majid,Yunus Bernad,Ali Hilal,Salum Ahmed,Abdalla Sleiman na mchezaji bora wa mwaka 2011 wa O.F.A Mzee Kheri,Wakiwa Dar Es Salaam timu hio mchanganyiko itajitupa kiwanjani kuanza mechi yao ya kwanza na Simba ambao ni Mabingwa wa Msimu huu wa Uhai Cup 2011,mapambano mengine yatafuatiwa na Yanga Youth Team, Azam Academy na Rangers.Msafara huo utaongozwa na katibu mkuu wa Central League Taifa Abdalla Thabit"Dula Sunday",Simai Vuai,Odero,Abdi Shagaa na Ramadhan Madundo.
........................................................................................................................

Wakati huohuo Makundi ya ligi ya imetangazwa na timu ambazo zitakuwa katika kundi moja na Oranje Football Academy ambazo zitakuwa katika kundi A ni
Leeds,Mwambao,
P Z L,Benfica,
Idumu, Al hapa,
Kivumbi, Kongeni na Msumbiji.
Ligi inatarajiwa kuanza mapema mwezi wa februari.

IVORY COAST YATINGA ROBO FAINALI

Ivory Coast imekuwa ni nchi ya pili kitinga katika hatua ya Robo fainali baada ya kuifunga Bukina Faso jumla ya mabao 2-0 katika pambano lao la pili katika kundi B.
Mabao ya Ivory Coast yalifungwa na kalou katika dakika ya 16 wakati lile la pili lilipachikwa na mlinzi mahiri wa Bukina Faso Bakari Kone aliyejifunga mwenyewe kwa kichwa katika harakati za kuokoa katika dakika ya 82.
Ivory Coast imejikusanyia jumla ya point 6 katika michezo miwili waliyocheza na kushinda yote huku Bukina Faso waliobakia mechi moja dhidi ya Sudan wakiyaaga mashindano hayo baada ya kufungwa mechi ya awali jumla ya mabao 2-1 dhidi ya Angola hata kama watashinda pambano lao la mwisho dhidi ya Sudan.
Katika pambano jingine la kundi hilo Sudan ilitoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya Angola hivyo kuwa na matumaini ya kusonga mbele kama itaifunga Bukina Faso katika pambano lao la mwisho la kundi hilo na pia kuiombea dua mbaya Angola ifungwe na Ivory Coast.
Mabao ya Sudan katika pambano hilo yote yalifungwa na Bashir katika ya 33 na 74 wakati yale ya Angola pia yalifungwa na Manucho katika dakika ya 5 na dakika ya 50 kwa njia ya penalti

Thursday, 26 January 2012

NI WACHEZAJI 2 TU WAZALIWA KIKOSI CHA EQUETORIA GUINEA

Hakuna hata mmoja wa wachezaji wa Equetorial Guinea ambao walicheza jana dhidi ya Senegal ambae alizaliwa katika nchi hio,mbali na kuwa ni timu ya chini zaidi kuingia katika mashindano hayo ya Nations Cup kuwahi kutokea katika ranki ya Fifa Equetorial Guinea wapo katika nafasi ya 151 hata hivyo kutokana na ushirikiano wa mkubwa wa nchi hio ya Equatorial Guinea imekuwa ni ya kwanza kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika.
Mfungaji wa bao la ushindi dakika za majeruhi dhidi ya Senegal 2-1 jana Kily ambae anachezea daraja la nne nchini Spain aliweza kuitumbukiza nchi hio iliyopata uhuru wake kutoka kwa Spain kucheza katika hatu ya nane za mwisho.
Kabla ya hapo Guinea Equetorial ilishinda 1-0 dhidi Libya na kuleta mafanikio makubwa kwa nchi hio yenye idadi ya watu chini ya 700 000.
Kipa kuoka Brasil,mlinzi kutoka Liberia,kiungo mkali kutoka Ivory Coast na mshambuliaji kutoka Cameroon na wachezaji wengine kutoka Spain ambapo hakuna hata mmoja kati ya wachezaji 13 waliocheza jana ambae alizaliwa nchini Equetorial Guinea ambapo katika kikosi cha wachezaji 23 ni kipa namba 3 pamoja na Felipe Evono na beki wa hakiba tu Jose Bekung peke yao ndio waliozaliwa katika nchi hio ambayo inafundishwa na kocha kutoka nchini Brasil.
Katika sera ya kocha Antonio Dumas kutoka Brasil aliwataka viongozi na maofisa na wanasiasa kuimarisha kikosi cha nchi hio kwa kuwatumia wachezaji wanaochezea nje ya nchi ili kuweza kuleta mafanikio katika nchi hio ambapo pia aliwapa mfano kwa baadhi ya yalifanywa na nchi ya Togo wakati alipokuwa kocha wa nchi hio.
Baada kukubaliana na mawazo yake Dumas wakubwa wa nchi aliwaalika baadhi ya wachezaji kadhaa kutoka nchini Brasil kuchukua uraia wa nchi ili kuweza kuchezea na kukiimarisha kikosi cha nchi hio na baadaye kuipanua sera hio kuita kuchukua wachezaji pia pamoja na mataifa mengine.
Katika hatua nyingine Nchi hio ambao ni koloni la zamani la Hispania, waliona kuwa ilikuwa kuna uwezekano mkubwa kuwa kulikuwa na wachezaji wenye asili ya Equatorial Guinea ambao wamezaliwa na kucheza katika nchi ya Hispania hivyo kuwaita wachezaji kadhaa waliozaliwa na kucheza soka nchini hispania kama watoto wa asili yao ya Equetorial Guinea,lakini kama hilo pia halitoshi kuimarisha kikosi chao walimualika mchezaji yeyote ambaye alikuwa tayari kupata uraia wa nchi hio.
Mlinzi mkali na kikosi hicho ambae jana alipewa kadi nyekundu Lawrence Doe ambae awali alikuwa na matumaini ya kuwa na uwezo wa kucheza soka ya kimataifa kwa ajili ya Liberia nchi yake ya asili ,lakini alijikuta ndoto zake hizo kwamba zilishindikana na hivyo kuamua badala yake kuichezea Equetorial Guinea badala ya Liberia.
Katika mahojiano Beki huyo alisema "Mimi ni M'Guinea, wao wananitunza,na serikali hapa mimi inanitunza vizuri," aliwaambia waandishi wa habari. "Najisikia furaha sana na kiburi sana kwa sababu hata kama mimi nimezaliwa Liberia lakini sasa mimi niko Guinea,Equetorial Guinea ni nyumbani kwangu., Nina mke wangu na mtoto wangu hapa sasa."

LIVERPOOL YATINGA FAINALI

Liverpool pamoja na kutoendelea na mwendo mzuri katika ligi kuu ya Barclay Primier League inaonekana kuwa makini zaidi katika makombe mengine ambapo imeingia fainali ya Carling cup baada ya kutoka sare na Manchester City 2-2 katika uwanja wa Enfield.
Liverpool imeingia fainali hizo baada ya kunufaika na ushindi wa 1-0 ilioupata baada ya kuifunga City nyumbani kwao katika pambano la kwanza la nusu fainali,kutokana na ushindi huo Liverpool imeingia Fainali kwa jumla ya mabao 3-2 ambapo watapambana na Cardiff City katika uwanja wa Wembley.
Mabao ya Liverpool yalifungwa na Gerald kwa penalti katika dakika ya 40 na Bellamy katika dakika ya 74 na Citizen walifunga mabao yao kupitia kwa De Jong dakika ya 31 na Dzeko dakika ya 67.

BARÇA 2-2 MADRID COPA DEL REY

Barçelona na Real Madrid jana zilifungana mabao 2-2 katika pambano la marejeano la robo fainali la Copa Del Rey lililofanyika katika uwanja wa Camp Nou.
Barçelona waliandika mabao yote mawili dakika 5 za mwisho za kipindi cha kwanza mabao yaliyofungwa na Pedro katika dakika ya 43 na Dani Alves dakika ya 45 wakati Real Madrid walioonekana kuwa makini zaidi katika pambano hilo kuliko pambano lake la kwanza lililofanyika katika uwanja wao Santiago Bernabeu wiki iliyopita waliweza kujibu mapigo baada ya kurejesha mabao hayo mawili katika dakika ya 68 kwa bao lililofungwa na Cristiano Ronaldo na Karim Benzema katika dakika ya 72.
Kutokana na matokeo hayo Madrid imetolewa katika kutetea kombe hilo ambalo ililitwaa mwaka jana baada ya kuifunga Barçelona 1-0 katika mechi ya Fainali,Barçelona sasa itapambana nusu fainali na mshindi kati ya Levante na Valencia

LA CELEBRACIÓN EN GUINEA EQUETORIAL

Sherehe kubwa kwa mara ya kwanza kutokea katika historia ya nchi ya Equetorial guinea katika soka mara baada ya nchi hio leo kuitoa nje ya mashindano Senegal baada ya kuifunga jumla ya mabao 2-1 katika pambano gumu la michuano ya Africa Cup Of Nations.
Wakicheza kwa moyo mmoja,juhudi na ufundi wote wachezaji wa Equetorial Guinea wameweza kuitupa nje Senegal katika michuano hiyo hata kama watashinda pambano lao la mwisho dhidi ya Libya.
shujaa wa pambano hilo kwa upande wa Equetorial Guinea alikuwa ni Alvarez aliepiga mkwaju mkali uliokwenda moja kwa moja golini katika dakika ya 90 ya mchezo na hivyo kuisukuma nchi yake katika hatua ya pili ya mashindano hayo na kuwa nchi ya kwanza kusonga mbele katika michuano hio mikubwa ya barani Africa.
Randy aliipatia Equetorial Guinea bao la kwanza katika dakika ya 62 kabla ya Musa Sow wa Senegal kusawazisha katika dakika ya 89 kabla ya Alvarez dakika ya 90 kuwapigilia Senegal msumari wa moto na kuyaaga mashindano hayo ambapo kutaleta mpasuko mkubwa ndani ya kambi ya nchi.Musa Sow,Demba Ba,Demba Cisse,Mamadou Niyang,Dia na N'doye wote hawakuweza kupewa nafasi na ukuta mgumu wa Equetorial Guinea hivyo kuigharimu nchi hio kyaaga mashindano ya mwaka huu 2012.
..............
Pambano la Awali la kundi hilo A lilimalizika kwa Libya 2-2 Zambia.
mabao yote ya Libya yalifungwa na Osman katika dakika ya 5 na 47 wakati yale ya Zambia yalifungwa na Mayuka katika dakika ya 29 naKatongo katika dakika ya 54.
............
O.F.A inawaomba viongozi ,makocha na wataalamu wa soka nchini kuziangalia jinsi nchi na mashindano hayo yanavyokwenda ili wawachambue wachezaji na nchi hizo pamoja na kusoma michezo mbalimbali ili kuweza kulisaidia taifa kuweza kujipanga vizuri katika michuano ijayo,
pia kuna haja ya kuangalia jinsi vipaji vya wenzetu na kuangalia vijana wetu wenye umri mdogo wanaolingana na vipaji hivyo ili viweze kuwakomboa waTanzania katika soka.

Wednesday, 25 January 2012

ORANJE FOOTBALL ACADEMY YAITAHADHARISHA MAFUNZO

Oranje Football Academy inawatahadharisha mabingwa wa Zanzibar Mafunzo f.c kujitayarisha vikali kutokana na kukabiliwa na timu ngumu katika pambano lake la awali la michuano ya Caf Champions League pambano ambalo Mafunzo wataanza nyumbani tarehe kati ya tarehe 17-18-19 mwezi 02-2012 dhidi ya Liga Muçulmana ya Maputo kutoka Msumbiji.
Kutokana na jina geni na mara ya kwanza kushiriki michuano hio mikubwa kwa vilabu barani Africa timu hio kutoka katika jiji la Maputo ambayo imeanzishwa miaka ya karibuni tu imeweza kuleta mafanikio makubwa katika soka nchini Msumbiji,kutokana na utajiri wa timu hio, mipango mizuri ,heshima kwa wachezaji na viongozi wote imeifanya timu hio kuwa kubwa kisoka kuliko timu zote za nchi hio kwa sasa.
Mbali na kuwa na agent wake wa fifa katika club hio ambae ni Agent wa mlinzi mkali Simao Mathe wa Panathinaikos ya nchini Greece agent ambae pia anawachezaji kadhaa wanaosakata soka sehemu mbalimbali duniani pia mmiliki wa timu club hio ni kaka wa agent huyo anaetambuliwa na fifa.
Club hio ambao inamiliki uwanja wake wa kuchezea mechi wenye nyasi bandia za kiwango cha fifa pia kuwa na sports complex yake katika mji wa Matola nje kidogo ya mji wa Maputo.

Kutokana na uwezo wao wa kifedha na mipango bora club hio inayojulikana kama "PALMARÉS" wanaovalia jezi nyeupe na kijani imeweza kuwazoa nyota wengi vijana kutoka katika vilabu vyote vikubwa vya nchi hio pamoja na nchi nzima kwa ujumla huku wakiwa pia ina kiungo mshambuliji kutoka nchini Brasil na nyota wengine wengi kutoka sehemu nyingine Africa.
Mbali na soka ambapo wana timu ndogo zaidi ya 4 wa umri mbalimbali ambao ni nyota wanaotarajiwa kukiongozea makali kikosi hicho cha Liga Muçulmana ambao kabla ya soka ilikuwa ni timu ya FUTSAL kabla ya kuigeuza kuwa timu ya soka miaka michache iliyopita pia inaendelea na kuwa na timu kali ya FUTSAL ambapo wana Complex katika barabara ya Eduardo Mundlhane katika ya jiji la maputo karibu na barabara muhimu ya jiji hilo ya Julius Nyerere ambapo pia wana complex nyingine ya Futsal katika mji wa Chimoio uliopo mpakani na Zimbabwe.
Pamoja na michezo hio klabu hio inayoongozwa kwa utalamu wa kisasa katika kila idara pia ina michezo na timu kali za Cricket,Hockey,Basketball na Handball.

kutokana na timu hio kuwa katika uendeshaji wa hali ya juu kwa nchini Tanzania hivi sasa Azam fc wakizidi kujitahidi wataweza kufikia uwezo wa kuiendesha timu yao kama hawa Liga Muçulmana miaka michache ijayo.
Kutokana na uzito katika timu yao ya Soka O.F.A inawatahadharisha mabingwa wa Zanzibar Mafunzo wajitayarishe vikali kwani itakupambana na moja ya timu kali kwa sasa katika michuano hio ya Mabingwa wa Africa.

ratiba ya timu ya timu ya Mafunzo ni kama hivi:
17,18,19/02/2012
Mafunzo FC vs Muçulmano de Maputo

02,03,04/03/2012
Muçulmano de Maputo vs Mafunzo FC

GHANA 1-0 BOTSWANA, MALI 1-0 GUINEA

Ghana na Mali zimejiweka katika nafasi nzuri ya kusonga mbele katika michuano ya CAN 2012 baada ya zote kushinda Bao 1-0 katika mechi za kundi D.
Ghana ilijipatia bao lake dhidi ya Botswana katika dakika ya 25' bao lililofungwa na Mensah ambaye hata hivyo alionywesha kadi nyekundu katika dakika ya 66 kutokana na mchezo mchafu.
Katika pambano jingine la kuvutia la wapinzani wakubwa kati ya Mali na Guinea lililokamilisha ratiba za mechi za awali za makundi yote 4 iliishia kwa ushindi wa bao 1-0 kwa Mali iliyocheza soka ya kujiamini kabisa kwa kutumia pasi fupi fupi na za uhakika huku Guinea ikingára kwa pasi za wastani na ushambuliaji wa kasi na haraka zaidi ambapo nchi hizo zililingana kwa kwa asilimia ya kutawala mchezo huo hadi kufikia mwisho wa pambano hilo.
Bao la Mali lilifungwa kwa mkwaju mkali nje ya sanduku la hatari kwa bao lililofungwa na Traore katika dakika ya 30.
Kutokana na matokeo hayo Ghana na Mali zinaongoza kundi hilo kwa kuwa na point na mabao sawa,huku Botswana na Guinea zikiwa pia sawa bila ya point wala bao la kufunga huku timu zote 4 zikiwa bado na nafasi za kusonga mbele katika michuano hio.

Tuesday, 24 January 2012

MALULEKA WA AJAX CAPETOWN AANZA MAZOEZI NA AJAX AMSTERDAM NA WENGINE 3 KUFATIA

(Thato kama kawaida yake akiwa uwanjani)
........................................................................................................................

(Mlinzi Nyota Nazeer Allie katika mechi)
........................................................................................................................

(Khama Billiat akiwa mazoezini)

........................................................................................................................


(Maluleka akiwa katika mechi ya Ajax Capetown)

........................................................................................................................


George Maluleka nyota kiungo wa timu Ajax Capetown leo ameanza mazoezi rasmi ya wiki moja na Mabingwa wa Holland Ajax Amsterdam ambao ndio Wamiliki na ndugu wa timu hiyo kutoka katika mji wa Cape Town nchini South Africa.

Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 23 ameruhusiwa leo asubuhi na kocha wa Ajax Amsterdam Frank De Boer kuchanganyika rasmi na kikosi cha kwanza cha Mabingwa hao ili aweze kuonyesha uwezo wake ambao utamwezesha kumpatia nafasi nyota huyo kubakia na mabingwa hao.Makinda mengine 3 Nazeer Allie Beki wa kutumainiwa wa timu taifa ya U20 ya Bafana Bafana pamoja na Ajax CapeTown atawasili mjini Amsterdam wakati wowte wiki hii alichelewa kutokana majeraha aliyoyapata na timu ya Bafana Bafana akiwa kambini huku Khama Billiat na Thato Mokeke wanaendelea na matibabu ya mwisho kujiunga na Ajax Amterdam pia kwa mazoezi ya wiki moja ili nyota hao waonyeshe makali yao.

Maluleke ambae amejiunga na Ajax Capetown miaka 3 iliyopita akitokea Supersports United pamoja na nyota wenzake 3 wataonyesha vitu vyao jijini Amsterdam kama walivyofanya kaka zao Benny McCarthy,Steven Piener,Eyang Enoh na wengineo.

Monday, 23 January 2012

TUNISIA 2-1 MOROCCO

Tunisia imeweza kunyakua point 3 muhimu katika pambano lao la Group C baada ya kuifunga Morocco mabao 2-1 katika michuano ya Africa Nations Cup 2012.
Mabao ya Tunisia yalipachikwa na Korbi katika dakika ya 34' na Chretien dakika ya 76' wakati lile la Morocco lilifungwa na Kharja katika dakika ya 87'.

GABON YAANZA VIZURI KUIWAKILISHA NCHI

Gabon wakicheza pambano lao la kwanza la Orange Can Nations Cup 2012 kama waandaaji washirika wa Equetorial Guinea wakicheza mbele ya Mashabiki na Rais wao wameweza kuichapa Niger kwa mabao 2-0 katika pambano la awali la kundi C.
Mabao ya Gabon yalipachikwa na Aubameyang "Neymar wa nchi hio" katika dakika ya 30' na Moubamba katika dakika 45'.
Pambano jingine la kundi hilo linalosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka barani Africa ni kati ya Morocco na Tunisia mahasimu wakubwa katika soka barani Africa ambapo katika mashindano ya vilabu nchi hizo mbili zilitoa timu zote nne zilizoshiriki katika fainali za mwaka huu za makombe mawili makubwa ambapo nchi hizo ziligawana makombe hayo kombe la mabingwa wa africa kwenda Tunisia na lile la Washindi wa bara kwenda Morocco.
kutokana na ushindi wa Gabon inaifanya nchi hio kuongoza kundi hilo huku ikisubiri kusikia matokeo kutoka kwa wapinzani wao hapo baadae leo.

BUKINA FASO 1-2 ANGOLA

Angola imeanza kwa kishindo mashindano ya Africa Nations Cup 2012 baada ua kuifunga Bukina Faso mabao 2-1 katika kundi B.
mabao ya Angola yalifungwa na Mateus katika dakika ya 48' na Manucho katika dakika ya 68' wakati lile la Bukina Faso lilifungwa na Traore katika dakika ya 57.
Angola inaongoza kundi B juu ya Ivory Coast kwa idadi ya magoli ya kufunga.

Sunday, 22 January 2012

IVORY COAST YASHINDA 1-0

Ivory Coast imeshinda kwa tabu 1-0 dhidi ya Sudan katika pambano la kwanza la kundi B CAN Nationas Cup 2012 kwa bao lililofungwa na nahodha wao Didier Drogba katika dakika ya 39' baada ya kuunganisha kichwa krosi kutoka kwa Solomon Kaluu aliyoipiga kutoga winga ya kushoto.

ZAMBIA 2-1 SENEGAL

Mabao mawili yaliyofungwa na Mayuka katika dakika ya 12' na Kalaba dakika 20' ya kipindi cha kwanza yalitosha kuweza kuwafanya Chipolopolo kuondoka na point 3 muhimu katika pambano la pili la michuano ya Africa Nations Cup 2012,Senegal walijipatia bao lao pekee katika dakika ya 72' kwa bao lililofungwa na N'Doye.
Zambia wanaongoza kundi A kwa kuwa na point sawa na Equetoria Guinea lakini Chipolopolo wapo juu ya usukani kutokana na idadi zaidi ya mabao ya kufunga.

Saturday, 21 January 2012

LA GRAN FIESTA EN EQUETORIAL GUINEA

Wenyeji Equetorial Guinea leo wameanza vizuri mbele ya Rais na viongozi pamoja na mashabiki wa nchi hio baada ya kuifunga Libya bao 1-0, bao lililofungwa na Balboa katika dakika ya 87 bao ambalo ni muhimu katika historia ya soka nchini humo.
Kutokana na ushindi huo EQ Guinea inaongoza kundi A kwa point 3 na bao 1 huku ikisubiri matokeo ya mechi njingine kati ya Senegal na Zambia itamalizika itamalizikaje.

VIWANJA VYA ORANGE CAN 2012



.......................................................................................................................................




Bata Stadium Equetorial Guinea

...........................................................



Malabo Equetorial Guinea

...............................................




Libreville Stadium Angodj Gabon

...........................................................

Franceville Gabon

.......................................................................................................................................

Viwanja ambavyo nyasi zake zitakuwa zikiwaka moto katika Can 2012.

ORANGE CAN 2012 KUANZA RASMI LEO

ORANGE CAN 2012

Washirika waandaaji wa mashindano hayo makubwa kuliko yote barani Africa Equatorial Guinea leo watafungua pazia kwa kujitupa katika uwanja mpya wa Bata kuchuana na Libya kuanza kibarua kigumu kwa timu zote zinazoliwakilisha bara la Africa katika michuano hii ya Orange CAN 2012.

Kutokana na kila mwaka ongezeko la wanasoka nyota wa Africa kuendelea kufurika katika soka ya kimataifa inafanya michuano ya mwaka huu kuwa migumu na kutotabirika ni nchi gani itatwaa ubingwa huo tofauti na miaka ya nyuma kuwa na baadhi ya timu zilikuwa zikionekana dhahiri kuwa ndio wenye uwezo wa kutwaa ubingwa huo.
Miamba mingi ya soka barani wamekusudia kutorejea makosa ambayo nchi zao zilikuwa zikiifanya katika michuano ya fainali zilizopita hapo nyuma na kuweka mikakati mikubwa ya mwaka huu kuwa ni mwaka wao wa kutwaa ufalme wa bara na si vinginevyo.
Kutokana na Kutolewa kwa mabingwa wa kombe hilo Egypt na kutoshiriki mashindano hayo kwa mara ya kwanza baada ya miaka mingi katika historia ya nchi hio imetoa sura mpya ya mwaka huu kumpata Mfalme mpya wa Bara letu la Africa,bara ambalo limesheheni nyota wanaongára barani ulaya na sehemu nyingine mbalimbali duniani katika soka.
Wenyeji hao EQ Guinea ambao wanashirikiana na Gabon kuandaa mashindano hayo wapo katika kundi A ambapo katika kundi hilo pia watakuwa na Libya,Zambia na Senegal

Ratiba kamili ni kama hivi:

A
GUINEA EQ. vs. LIBYA
21/01/2012
19H:30
Bata

SENEGAL vs. ZAMBIA
21/01/2012
22H:00
Bata


LIBYA vs. ZAMBIA
25/01/2012
17H:00
Bata

GUINEA EQ. vs. SENEGAL
25/01/2012

GUINEA EQ. vs. ZAMBIA
29/01/2012
19H:00
Malabo

LIBYA vs. SENEGAL
29/01/2012
19H:00
Bata
....................
B
COTE D’IVOIRE vs. SUDAN
22/01/2012
17H:00
Malabo

BURKINA FASO vs. ANGOLA
22/01/2012
20H:00
Malabo


SUDAN vs. ANGOLA
26/01/2012
17H:00
Malabo

COTE D’IVOIRE vs. BURKINA FASO
26/01/2012
20H:00
Malabo


SUDAN vs. BURKINA FASO
30/01/2012
19H:00
Bata

COTE D’IVOIRE vs. ANGOLA
30/01/2012
19H:00
Malabo
....................................
C
GABON vs. NIGER
23/01/2012
17H:00
Libreville

MOROCCO vs. TUNISIA
23/01/2012
20H:00
Libreville


NIGER vs. TUNISIA
27/01/2012
17H:00
Libreville

GABON vs. MOROCCO
27/01/2012
20H:00
Libreville


GABON vs. TUNISIA
31/01/2012
19H:00
Franceville

NIGER vs. MOROCCO
31/01/2012
19H:00
Libreville
..................
D
GHANA vs. BOTSWANA
24/01/2012
17H:00
Franceville

D
MALI vs. GUINEA
24/01/2012
20H:00
Franceville

D
BOTSWANA vs. GUINEA
28/01/2012
17H:00
Franceville

GHANA vs. MALI
28/01/2012
20H:00
Franceville

D
BOTSWANA vs. MALI
01/02/2012
19H:00
Libreville

GHANA vs. GUINEA
01/02/2012
19H:00
Franceville
...................


Quarter Finals – ¼ de finale

1st A vs. 2nd B
04/02/2012
17H:00
Bata

1st B vs. 2nd A
04/02/2012
20H:00
Malabo

1st C vs. 2nd D
05/02/2012
17H:00
Libreville

1st D vs. 2nd C
05/02/2012
20H:00
Franceville
..................


Semi-Finals - ½ Finale

Win. 25 vs. Win. 28
08/02/2012
17H:00
Bata

Win. 27 vs. Win. 26
08/02/2012
20H:00
Libreville
..................
3rd Place match – Match de classement

Loser 29 vs. loser 30
11/02/2012
20H:00
Malabo

Final/Finale

Win. 29 v Win. 30
12/02/2012
20H:00
Libreville

Thursday, 19 January 2012

REAL YAFUNDISHWA TENA SOKA NA BARCA

Barcalona jana iliendelea kuinyanyasa Real Madrid baada ya kuichapa mabao 2-1 katika pambano la kwanza el clasico Copa Del Rey lililofanyika nyumbani kwa Real Madrid Santiago de Bernabeu.
Pambano la marejeano litafanyika jumatano ijayo katika uwanja wa Camp Nou,Real Madrid ili kusonga mbele hatua ya nusu fainali ni lazima ishinde si chini ya mabao 2-0.

Bernabéu
Real Madrid 1 - 2 FC Barcelona
Cristiano Ronaldo 11’
FC Barcelona
Puyol 49’
Abidal 77’

Tuesday, 17 January 2012

O.F.A YAMPONGEZA DR SHEIN KUTAKA SOKA IZALIWE UPYA ZANZIBAR

Kituo cha kukuza soka kwa Vijana nchini cha Oranje Football Academy kimempongeza Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein kwa kutaka juhudi za lazima zichukuliwe kwa pamoja kuweza kurejesha hadhi ya Zanzibar katika michezo ili kuweza kurejesha heshima nchini iliyotoweka kwa miaka mingi.

Dr Shein Anakuwa ni Rais wa kwanza wa Zanzibar kutangaza kauli na azma hio rasmi baada ya michezo mingi nchini Zanzibar kuondoka hadhi yake au kufa kabisa kutokana na hali za kisiasa silizokuwa zikiikumba Zanzibar miaka mingi iliyopita.

Dr Shein Alisema, ipo haja ya kuimarishwa michezo ya timu za watoto kama vile mashindano ya ‘juvenile, Junior na Central kwa kila timu kubwa kuwa na timu ndogo za vijana ili ziweze kuinua vipaji na kuzisaidia timu hizo kupata wachezaji.

KUTOKANA NA KAULI YA DR SHEIN KITUO CHA KUKUZA SOKA KWA VIJANA NCHINI ORANJE FOOTBALL ACADEMY INAKUWA NI ACADEMY YA KWANZA NCHINI KUWA TAYARI KUSHIRIKIANA NA TIMU YOYOTE AU TIMU ZOZOTE AU MUWEKEZAJI NCHINI KUWEZA KUWA NI KITUO CHAKE KIKUU CHA KUZALISHIA VIPAJI KAMA VILE SOKA INAVYOENDELEZWA KATIKA NCHI ZILIZO ENDELEA KATIKA SOKA DUNIANI.

TAYARI NYOTA WATATU KATIKA KITUO CHETU AMBAO WANACHEZEA KATIKA TIMU ZA TAIFA ZA VIJANA ZA TANZANIA WAPO KATIKA TIMU ZA AZAM,YANGA,NA JKT RUVU AMBAPO WANATARAJIWA KUTWALIWA NA VILABU HIVYO AMBAVYO VINACHEZA KATIKA LIGI YA VODACOM PRIMIER LEAGUE TANZANIA.

HIO NI KUONYESHA NI JINSI GANI O.F.A INATARAJIA KUOKOA FEDHA NYINGI ZA KUSAJILI WACHEZAJI KUTOKA NJE AU VILABU VINGINE NCHINI.
O.F.A INAWAKARIBISHA RASMI KLABU,VILABU,WAWEKEZAJI WATAKAOHITAJIA KUSHIRIKIANA NA KITUO HICHO AMBACHO KIMESHEHENI NYOTA KADHA HAPA NCHINI.

PATA MATOKEO YA MECHI ZOTE ZA SOKA NCHI MBALIMBALI KUPITIA KATIKA SOCCER LINKS KUSHOTO.KLICK LIVE SCORE UJIPATIE MATOKEO YA SOKA DUNIANI

Monday, 16 January 2012

BERTRAND TRAORE KINDA WA MIAKA 16 KATIKA KIKOSI CHA BUKINA FASO

Burkina Faso imemjumuisha kinda wa unri wa miaka 16 Bertrand Traore katika kikosi chao cha timu ya Taifa kitakacho iwakilisha katika michuano ya Caf Orange Nations Cup 2012,
Kinda huyo ambaye alikuwepo katika majaribio ya wiki 6 mjini London katika club ya Chelsea sasa ataungana na kaka yake Alain Traore anayechezea club ya AJ Auxerre ya Ufaransa:

Goalkeepers:
Daouda Diakite (KV Turnhout, Belgium), Moussa Germain Sanou (St Etienne, France), Adama Sawadogo (Missile, Gabon)

Defenders:
Ibrahim Gnanou (Alania Vladikavkaz, Russia), Bakary Kone (Olympique Lyon, France), Paul Koulibaly (Charleroi, Belgium), Saidou Mady Panandetiguiri (Valletta, Malta), Mamadou Tall (Persepolis, Iran)

Midfielders:
Wilfried Balima (Sheriff Tiraspol, Moldova), Charles Kabore (Olympique Marseille, France), Mahamadou Kere (Konyaspor, Turkey), Mohamed Koffi (Petrojet, Egypt), Djakaridja Kone (Dynamo Bucharest, Romania), Jonathan Pitroipa (Stades Rennes, France), Florent Rouamba (Sheriff Tiraspol. Moldova), Bertrand Traore (unkown)

Forwards:
Aristide Bance (Samsunspor, Turkey), Moumouni Dagano (Al Khor, Qatar), Prejuce Nakoulma (Gornik Zabrze, Poland), Issiaka Ouedraogo (FC Admira Wacker Modling, Austria), Abdou Razak Traore (Lechia Gdansk, Poland), Alain Traore (AJ Auxerre, France), Narcisse Yameogo (AD Camacha, Portugal)

Sunday, 15 January 2012

BOSI WA SWANSEA BAADA YA KILIMANJARO LEO NI ZAMU YA ARSENAL

Brendan Rodgers Bosi wa Swansea City ambae mwaka jana 9th June 2011 alikuwepo nchini Tanzania kuongoza charity maalum kwa kituo cha afya cha Marie Curie Cancer Care http://www.justgiving.com/Brendan-Rodgers , ambapo pia alifatana na



Chris Camara


Coventry City Aidy Boothroyd na chairman wa Middlesbrough Steve Gibson katika safari hio nchini ya kukusanya fedha hizo.

Mazoezi hayo ya Kuupanda mlima huo wa Bosi huyo wa Swansea leo umeweza kumsaidia nguvu katika timu yake kwa kuichapa Arsenal mabao 3-2 katika pambano kali la ligi ya Primier League,

matokeo mengine ya ligi hio ni:

Sunday January 15, 2012


The Liberty Stadium
Swansea City 3 - 2 Arsenal
Sinclair 16’ (pen.)
Dyer 57’
Graham 70’
Arsenal

van Persie 5’
Walcott 69’

Sports Direct Arena
Newcastle United 1 - 0 Queens Park Rangers
Best 37’
..........................

ORANJE FOOTBALL ACADEMY INATOA MAONI YAKE KWA VIONGOZI WA SOKA NCHINI,VILABU,MAWAKALA KUSHIRIKIANA NA WAANDAAJI WA SAFARI ZA WATALII WANAOKUJA KATIKA MLIMA KILIMANJARO KUPITIA KATIKA BALOZI MBALIMBALI ZA TANZANIA ZILIZOPO NJE,

KUPEANA TAARIFA NA WENZAO WA NYUMBANI ILI KUWEZA KUWASILIANA NA VIONGOZI NA WACHEZAJI MBALIMBALI KUTOKA NJE WANAOKUJA NCHINI,

KWALENGO LA KUWASHIRIKISHA KUOMBA URAFIKI NA VILABU VYAO KWAAJILI YA WACHEZAJI WETU NCHINI,MIALIKO YA TIMU ZA NCHINI AU KUZIALIKA TIMU ZAO KUJA NCHINI PAMOJA NA KUTOA NAFASI ZA MAJARIBIO YA NYOTA WA NCHINI KWENDA KUFANYA MAJARIBIO KATIKA TIMU ZAO ILI KULISAIDIA TAIFA LETU KUTOA WACHEZAJI WENGI KWENDA NJE.

KIKOSI CHA ANGOLA

Baada ya kumaliza pambano lake la mwisho la majaribio kujiandaa na mashindano ya Caf Nations Cup 2012 Angola imetangaza kikosi chake cha mwisho kitakachosafiri kwenda katika michuano hio ya mwaka inayotarajiwa kuwa migumu kuliko mara iliyopita mwaka 2010 michuano iliyofanyika nchini Angola.

"The Black Antelopes" leo walimaliza mechi yao ya majaribio kwa kuwafunga Sierra Leone jumla ya mabao 3-1 ambapo kabla ya hapo ilitoka suluhu 0-0 na Nigeria mechi iliyofanyika Abuja Nigeria jumatano wiki hii,mechi nyingine za majaribio za Nchi hio ambayo uchumi wake umekuwa kiasi kikubwa na kuwafanya raia wingi wa mabosi wao wa zamani Portugal kuhamia nchini Angola kwenda kutafuta maisha bora kutokana na uchumi wa nchi nyingi za bara la ulaya kuangua "The Black Antelopes 1-1 Cameroon pambano lililofanyika katika mji wa Kabinda, kabla ya kuichapa Zambia bao 1-0 katika uwanja wa Estádio Sagrada Esperança mjini Dundo mechi zote mbili nchini Angola.
Kutokana na Uchumu wa Nchi ya Angola kukua kiasi kikubwa kimemvutia Rivaldo mwanasoka bora wa zamani duniani mwaka 1999 akiwa na F.c Barçelona na mchezaji bora barani Ulani Ulaya,mshindi wa kombe la Dunia 2002 akiwa timu ya ke Brasil ambae pia alichezea Ac Milan ya Italia 2004 imevutiwa na nchi hio na ijumaa hii imejiunga na timu ya Kabuscorp ya Angola baada ya kutia saini ya kuichezea timu hio kwa mwaka mmoja.

Kikosi Cha Angola Ni kama ifuatavyo:

Goalkeepers:
Carlos (unattached), Hugo (Kabuscorp), Wilson (Primeiro Agosto)

Defenders:
Amaro (Primeiro Agosto), Dani Massunguna (Primeiro Agosto), Kali (Primeiro Agosto), Marco Airosa (AEL Limassol, Cyprus), Mingo Bille (Primeiro Agosto), Zuela (Atromitos, Greece)

Midfielders:
Andre Makanga (Al Jahra, Kuwait), Dede (AEL Limassol, Cyprus), Gilberto (Lierse, Belgium), Mabina, Miguel (both Petro Atletico), Osorio (Recreativo Caala), Xara (Petro Atletico)

Forwards:
Djalma (FC Porto, Portugal), Flavio (Lierse, Belgium), Jose Pierre Vunguidica (Preussen Munster, Germany), Love (Petro Atletico), Manucho (Real Valladolid, Spain), Mateus Galiano (Nacional, Portugal), Nando Rafael (FC Augsburg, Germany).

Saturday, 14 January 2012

LA LIGA-SPAIN

Saturday January 14, 2012

Iberostar Estadi

RCD Mallorca 1 - 2 Real Madrid
Hemed 39’
Real Madrid
Higuaín 72’
Callejón 84’
...........
Estadio Ramón Sánchez Pizjuan

Sevilla FC 0 - 0 RCD Espanyol
..............
Estadio La Romareda

Real Zaragoza 1 - 1 Getafe CF
Lanzaro 39’
Getafe CF
Paredes 79’ (o.g.)
..........

Nuevo Los Cármenes

Granada CF 1 - 2 Rayo Vallecano
Rico 87’
Rayo Vallecano
Michu 26’
Piti 52’.

MATOKEO PRIMIER LEAGUE

Saturday January 14, 2012

Ewood Park
Blackburn Rovers 3 - 1 Fulham
Gamst Pedersen 45’
Dunn 46’
Formica 79’
Fulham
Duff 56'

Old Trafford
Manchester United 3 - 0 Bolton Wanderers
Scholes 45’
Welbeck 74’
Carrick 83’

White Hart Lane
Tottenham Hotspur 1 - 1 Wolverhampton Wanderers
Modric 51’
Wolverhampton Wanderers
Fletcher 22’

Anfield
Liverpool 0 - 0 Stoke City

Stamford Bridge
Chelsea 1 - 0 Sunderland
Lampard 13’


Villa Park
Aston Villa 1 - 1 Everton
Bent 56’
Everton
Anichebe 69’


The Hawthorns
West Bromwich Albion 1 - 2 Norwich City
Long 68’ (pen.)
Norwich City
Surman 43’
Morison 79’

O.F.A YAISOMESHA TFF

Oranje Football Academy imeipa somo Chama cha soka nchini TFF ili iweze kulichukulia hatua zinazohitajika kuweza kuiwezesha Tanzania kujulikana kisoka Duniani na pia kuweza kushiriki michuano mbalimbali mikubwa inayosimamiwa na Caf pamoja na ile ya Fifa.

Katika somo hilo Kiongozi wa O.F.A anayeishi nchini Spain ndugu Pereira akizungumza na Blog hii inayomilikiwa na kituo cha kukuza soka kwa Vijana nchini O.F.A alisema
"ili Tanzania iweze kujulikana katika soka na kutoa upinzani kwa nchi nyingi za Africa ambazo hivi sasa zimekuwa zipo juu sana kisoka kulinganisha na Tanzania ni lazima Tanzania ibadilike iwe na wachezaji wengi wanaocheza soka ya kulipwa barani ulaya".

Aliendelea kwa kusema wachezaji wa nchi nyingi za Africa hivi sasa wanacheza katika timu kubwa miamba ya barani ulaya na ni tegemeo katika timu zao hizo ambazo huko wanapata mafunzo na mbinu za utaalamu wa hali ya juu kulinganisha na Tanzania ambao wachezaji wake wanaochezea nje hawajulikani hata ukilinganisha na jirani zao Kenya au Uganda,kama Tanzania wanataka maendeleo ya soka na wafikie katika malengo ya juu na kuwafanya wapenzi wa soka na Watanzania kwa jumla kuwa na furaha katika miaka ijayo inabidi wawe na mpango mkubwa sana wa kukuza vijana wao wa timu zao za taifa pamoja na kuwatafutia vijana hao timu za nje ili kuweza kuleta ushindani kwa nchi nyingine za Africa ambazo zimesheheni wachezaji waliozaliwa barani ulaya au kukulia huko au pia kuchukuliwa kutoka katika nchi zao kwenda kuchezea timu mbalimbali barani humo.

Katika Somo hilo kwa TFF alisema ni lazima chama cha soka cha Tanzania kwa makusudi ikishirikiana na Serikali kushirikiana ili kuweza kufikia malengo hayo ambapo yataleta mapinduzi makubwa katika soka na ajira ya vijana wengi nchini pamoja na kuliletea Taifa la Tanzania Kipato kikubwa kutoka na soka kama kitega uchumi kilichoko nje ya nchi.
Alitoa mfano kwa kusema nchi kama Brasil inaingiza billions za $ dollar kwa mwaka nchini humo kutokana na kuwa na wachezaji kila kona ya dunia ambapo fedha hizo hutumika kwa maendeleo mbalimbali nchini humo sio tu kwa wachezaji na familia zao bali banks mbalimbali na vitega uchumi ambao nyota hao hutoa ajira kwa mamilioni ya raia wa nchi hio kutokana na wachezaji hao wanaosakata soka nchi za nje kwa miaka mingi ambapo kila mwaka wanazidi kuzaliwa vijana wakiwa na skills zilezile au zaidi kuliko wale waliopita kutokana na mipango mizuri.

Kiongozi huyo wa O.F.A alisema kutokana na sheria za nchi ya Tanzania kutowaruhusu raia wake wanaoishi nje ya nchi wenye raia mbili kutotumika na kunufaika kama nchi nyingi za Africa na zile za South America zinavyofanya hakuna budi TFF kutumia mpango muafaka ili kuweza kuwatumia wachezaji vijana nchini kwenda nje kusakata soka ya kulipwa sambamba na nyota wa dunia ili kuwajengea misingi mzuri ya kiuchezaji na kuwaondoshea woga pale wanapokutana na wachezaji ambao wamezowea kuwaona katika TV tu katika timu wanazoshabikia wachezaji hao wa Tanzania za barani ulaya.

Alitoa mfano kwa kusema kwa sasa Tanzania ilitakiwa wawe mabingwa wa bara la Africa karibu mara zote kwa wachezaji wanaochezea nchini mwao CHAN michuano ambayo hata hivyo Tanzania inashindwa kufanya chochote cha maana ukilinganisha na nchi nyingine za Africa,
kama CHAN inashindikana,nadhani kusiwe na ndoto za kuzifunga nchi zenye nyota wanangára barani ulaya katika michuano mbalimbali.

Kama mchezaji amezowea kumuona Drogba,Eto'o,Essien,Yaya Touré katika Tv,leo ghafla anamkuta anatakiwa amkalie huku nyota huyo akiwa anashirikiana na wenzake kadhaa ambao wanatamba barani ulaya ,nadhani mchezaji wa Tanzania pamoja na uzuri wake atajaribu tu yeye na wenzake lakini nadhani mioyo itaaanza kuwadunda kabla ya kuanza pambano hadi mwisho wa dakika zote huku wapinzani wao wakicheza kwa kujiamini kuwa hawaogopi chochote kutoka kwa wapinzani wao wa Tanzania kitu ambacho kujiamini ni msingi mkubwa wa mafanikio na maendeleo ya soka kwa kila mchezaji,timu au nchi,bila ya kujiamini usitegemee matarajio yoyote ,alisema kiongozi huyo anayeishi mji wa Seville na mpenzi mkubwa wa F.c Barçelona.

Aliendelea kutoa mfano kwa kusema,kwa mara ya mwisho Tanzania iliingia katika fainali za kombe la Mataifa huru ya Africa Caf Nations Cup miaka ya 80 wakati huo walikuwepo Akina Tenga,Adolph Richard,Tino na wengineo hio ilikuwa ni bahati nzuri kwa Tanzania kwani kipindi hicho nchi za Africa wachezaji wao wote walikuwa wakichezea katika nchi zao kama Tanzania ilivyo sasa, aidha nchi hizo zilikuwa na mchezaji mmoja au wawili tu nje kinyume na soka la leo kikosi cha wachezaji 30 wote wanacheza soka barani ulaya na hawana matatizo ya malipo ya mishahara yao kwahio huleta utulivu kwa wachezaji hao na kuwafanya kujikita zaidi katika kazi yao ya soka.

Mbinu ambazo Pereira imeisomesha TFF ni kukitaka chama hicho cha soka nchini kuwa na mpango maalum wa kuweza kuiwezesha Tanzania kukuza soka na kuwa sawa sawa na nchi nyingine za Africa kutokana na nchi hio kuwa na vipaji vingi sawa na nchi nyingine yoyote ya Africa au Brasil, alisema kuwa na mpango mkubwa wa kutayarisha mechi za kirafiki za timu ya Taifa ya A na zile za vijana wa nchi hio, Mechi hizo za kirafiki zisiwe za kushitukizia tu kama ambavyo imezoeleka hadi dakika ya mwisho ndio TFF inakuwa inahangaika kutafuta kucheza mechi zao za kirafiki na mwisho kuangukia kucheza na Kenya au Uganda nchi ambazo kama utahesabu mechi walizocheza nazo za kirafiki na zile za challenge cup pengine zinafikia zaidi ya 50 katika historia zao, huwezi kucheza na Kenya au Uganda tu kila mara alisema kiongozi huyo,

Ukiangalia katika maendeleo ya soka katika bara la Africa ,nchi za Africa Mashariki na Kati ni nchi ambazo zipo nyuma sana kisoka kulingana na nchi za ukanda mwingine wowote wa bara hilo,kama unaagizia mechi ya kirafiki dakika za mwisho dhidi ya somalia ,hata ukishinda goli 10-0 nadhani hakutokuwa na maendeleo yoyote ambayo wachezaji watakuwa wamejiongezea kisoka na pengine ni bora kufanya mazoezi ye Taifa yanakuwa na pinzani zaidi ya kucheza mechi hio ya kirafiki kwa hio hupelekea matokeo ni sawa na kujirejesha nyuma kihatua baada ya kwenda mbele kisoka.

Katika mpango mkubwa wa kufuatilia mechi za kirafiki inabidi TFF iandike barua mapema kwa nchi wanazotaka kucheza nazo mapango huo wanaweza kuagiza mechi zao zote zilizokuwa katika kalenda ya fifa kwa muda wa miaka 2 na kuwa na uhakika ya tarehe zao na nchi ambazo watacheza nazo na sio kushitukizia tu au mara nyingi kukosa kucheza mechi hizo kwa vile inakuwa ni muda umepita.

Mpango huo wa kuagizia nchi za kucheza nazo utakwenda sambamba na kuuza wachezaji wa Tanzania nje kwa muda huo wa miaka 2 ambapo Tanzania itaweza kujivunia si chini ya nyota 10 hadi 15 watakaopata kucheza soka ya kulipwa barani ulaya kutokana na kuonekanwa na timu,makocha,maagents,na scouting mbalimbali wa bara hilo la ulaya ambapo vijana hao wa taifa ndio watakaoanza safari ya Tanzania kuelekea katika maendeleo ya soka duniani.

Alisema katika mpango huo TFF inahitajika iombe mechi za kirafiki kwa muda mrefu ujao ili kuweka uhakika mpango wa kuuza wachezaji wake unakwenda sambamba na huo muda wote wa miaka 2.kwa mfano:
1)Tanzania inatakiwa icheza mechi nyingi za kirafiki na timu za taifa za nchi zilizochoka kisoka barani ulaya ili kuwatangaza wachezaji hao katika nchi hizo na nyinginezo za bara hilo kama njia ya kwanza ya kuwatangaza vijana wake katika njia ya kuelekea kucheza soka barani ulaya,kuna nchi nyingi ambazo Tanzania inazo uwezo wa kucheza nazo na pia kuzifunga na kuwafanya vijana wake kuonekana ubora wao kisoka kabla ya kuanza kuagizia nchi zilizo katikati kisoka hapo baadae,
Nchi kama:
Faroe Islands,Moldova,Luxembourg,Liechtenstein,Kazakhstan,Tajikistan,Azerbaijan na nyinginezo ni nchi ambazo Tanzania inaweza kucheza nazo na kufanya vizuri na huku ikielekeza kuwatangaza wachezaji wake kuonekana katika timu za bara hilo la ulaya.

2)Baada ya mpango huo wa kwanza kuwe na mpango mwingine badala ya mpango huu wa sasa wa kucheza mechi nyingi za kirafiki katika kiwanja cha nyumbani cha Taifa,hivi sasa TFf inahitajika ibadilike kuomba mechi zake za kirafiki dhidi ya nchi za bara la Africa lakini mechi zao hizo zichezewa barani ulaya ujanja ambao hivi sasa unatumiwa na nchi zote za bara hilo zilizo juu kisoka,nchi kama Ghana wanacheza mechi nyingi nchini England,RD Congo wanawatangaza wachezaji wao wa nyumbani kwa kucheza mechi nyingi za kirafiki nchini Belgium,Senegal na nchi zinazozungumza lugha ya kifaransa zinacheza mechi nyingi nchini france,hivyo ni rahisi kwa TFF kuagizia mechi kwa nchi za Africa na kutumia viwanja vya ulaya ambavyo nchi hizo ndio wanavyovitumia hivyo kutatoa nafasi kubwa kuwatangaza wachezaji wa Tanzania bara zima la Ulaya kwa kushirikia na mpango wa kucheza na timu zilizopo katika viwango vya chini vya bara hilo.

Mipango hio miwili itaweza ndani ya miaka 2 kuwatoa woga wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania pamoja na kuwapatia nafasi ya kuonekanwa na kuuzwa kirahisi kulikoni kusubiri kuwa kuna siku Tanzania itaweza kufanya vizuri kwani inaonekana kila siku inazidi kuporomoka huku nchi za Africa kila siku zikizidi kujiimarisha kisoka.
Aidha alisema ni lazima wachezaji Vijana nchini wapatiwe nafasi za kucheza mara kwa katika vikosi vya kwanza vya timu za Primier Leauge ili kuwajenga vijana hao kujiamini na sio kusubiri kucheza katika timu ya taifa ya vijana tu au kufanya mazoezi tu bila ya mashindano ya maana.
Ni lazima kuwe na mpango maalum wa mchezaji wa taifa ya vijana U23 waweze kucheza mechi nyingi za ligi kuu kitu kitakachowasaidia katika kujijenga kisoka.

Alimalizia kwa kusema TFF isimamie kuhakikisha timu zote za Primier League,First Div,na Sec div zinakuwa na timu ndogo za kudumu ambazo zinashiriki katika mashindano ya ligi ya madaraja mbambali nchini nchi kama nchi zote duniani zinavyofanya ili kuwajenga wachezaji hao na sio kucheza mechi za kirafiki tu mwaka mzima au kusubiri Uhai cup kwa timu za mprimier league mashindano yanayodumu wiki chache tu kitu ambacho kinaua viwango vya wachezaji hao.
Kama wachezaji hao watashiriki michuano ya soka ya madaraja mbali mbali nchini viwango vyao vitakuwa sana na pia vilabu vitanufaika na mfumo wa uchezaji wake kutokea chini hivyo kupelekea mchezaji kufundishika zaidi na mfumo wa klabu na kujua ni uchezaji wa aina gani amefundhiswa na anatakiwa kuutumia akiwa katika timu A ya klabu hio ,
itapelekea sio tu pamoja na nidhamu ya hali ya juu bali pia vilabu kujiokoa na kugharimu fedha nyingi za kusajili wachezaji kutoka nje na vilabu vingine vya nchini ambapo kiongozi huyo amepigia mfano wa mfumo huo wa vilabu vya kuwa na tamaa"labda"huyo mchezaji atakuwa na uwezo kama walivyomuona katika klabu aliyotoka ambapo mfumo wake na pengine nidhamu ni tofauti kabisa na atakaokutananao katika vilabu vyao vipya vya Primier Leuague ya Tanzania.
TFF inabidi tu kutoviruhusu vilabu hivyo B timu zao kupanda hadi Primier League kwani kaka zao A tayari wako huko lakini first div wanaweza kucheza kwani hapo mchezaji atawiva tayari kwa kuja kuchezea timu kubwa ya klabu hio pamoja na timu za Taifa za Vijana Tanzania,Huku akitoa mfano wa timu yake anayoipenda kwa kusema "unaona kwa mfano kama Barça B".

Friday, 13 January 2012

ZAMBIA NA BOTSWANA VYATAJA NYOTA WAO

Vikosi vya mwisho vya Chipolopolo na Zebras ambavyo vitakuwa ni moja ya nchi zitakazoleta upinzani mkubwa katika michuano ya 2012 Caf Oranje Nations Cup ni kama hivi:

ZAMBIA:
Goalkeepers: Kalililo Kakonje (unattached), Kennedy Mweene (Free State Stars, South Africa), Joshua Titima (Power Dynamos).

Defenders: Kampamba Chintu (Bidvest Wits, South Africa), Hichani Himonde, Francis Kasonde (both TP Mazembe Englebert, DR Congo), Nyambe Mulenga (Zesco United), Joseph Musonda (Lamontville Golden Arrows, South Africa), Davies Nkausu (SuperSport United, South Africa), Stopilla Sunzu (TP Mazembe Englebert, DR Congo).

Midfielders: Isaac Chansa (Orlando Pirates, South Africa), Noah Chivuta (Free State Stars, South Africa), Rainford Kalaba (TP Mazembe Englebert, DR Congo), Chris Katongo (Henan Construction, China), Felix Katongo (unattached), Chisamba Lungu (Ural Povolzhye, Russia), Clifford Mulenga (Bloemfontein Celtic, South Africa), Nathan Sinkala (Green Buffaloes).

Forwards: James Chamanga (Dalian Shidem China), Evans Kangwa (Nkana FC), Emmanuel Mayuka (Young Boys Berne, Switzerland), Jonas Sakuwaha (Al Merreikh, Sudan), Collins Mbesuma (Lamontville Golden Arrows, South Africa).

BOTSWANA :
Goalkeepers: Modiri Marumo (Bay United/SA), Noah Maposa (Gaborone United), Kabelo Dambe (Township Rollers).

Defenders: Mompati Thuma (BDF XI), Mosimanegape Ramohibidu (BMC), Tshepo Motlhabankwe (Mochudi Centre Chiefs), Mmusa Ohilwe (Gaborone United), Monametsi Kelebale (Nico United), Ndiyapo Letsholathebe (Police XI).

Midfielders: Patrick Motsepe (BDF XI), Dipsy Selolwane (SuperSport United/SA), Othusitse Pilane (Mochudi Centre Chiefs), Pontsho Moloi (Mochudi Centre Chiefs), Joel Mogorosi (Mochudi Centre Chiefs), Mogogi Gabonamong (SuperSport/SA), Boitumelo Mafoko (Santos/SA), Ofentse Nato (Gaborone United), Phenyo Mongala (Bloemfontein Celtic/SA).

Forwards: Moemedi Moatlhaping (Bay United/SA), Lemponye Tshireletso (BDF XI), Onalethata Tshekiso (Township Rollers), Mogakolodi Ngele (Township Rollers), Jerome Ramatlhakwana (unattached)

GHANA YATANGAZA WAKALI WAKE

Ghana imetangaza kikosi chao kitakachokuwa tayari kutoa upinzani mkubwa katika mashindano ya soka barani Africa yatakayaofanyika nchini Equetorial Guinea na Gabon mwishoni ni mwezi huu, kikosi hicho ambacho kinachoundwa na vijana wakali na wenye uwelewano mkubwa wakiwa uwanjani ni kama ifuatavyo:

Goalkeepers:
Adam Kwarasey (Stromsgodset, Norway), Daniel Adjei (Liberty Professionals, Ghana), Ernest Sowah (Berekum Chelsea, Ghana)

Defenders:
Samuel Inkoom (Dnipro, Ukraine), John Paintsil (Leicester City, England), Daniel Opare (Standard Liege, Belgium), Masawudu Alhassan (Genoa, Italy), Lee Addy (Dalian Aerbim, China), John Boye (Rennes, France), John Mensah (Lyon, France), Jonathan Mensah (Evian, France), Isaac Vorsah (Hoffenheim, Germany)

Midfielders:
Charles Takyi (St Pauli, Germany), Emmanuel Agyemang Badu (Udinese ,Italy), Derek Boateng (Dnipro, Ukraine), Anthony Annan (Vitesse Arnhem, Netherlands), Mohammed Abu (Stromsgodset, Norway), Kwadwo Asamoah (Udinese, Italy), Sulley Muntari (Inter Milan, Italy), Andre Ayew (Marseille, France)

Strikers:
Prince Tagoe (Bursaspor, Turkey), Asamoah Gyan (Al Ain, UAE), Jordan Ayew (Marseille, France)

Thursday, 12 January 2012

LIBYA,SUDAN,NIGER,MALI ZATANGAZA MAJESHI YAO

Sudan,Libya,Niger na Mali zimetangaza vikosi vyao vitakavyo ziwakilisha nchi zao katika mashindano ya Caf Orange Nations Cup 2012 zitakazoanza mwezi huu nchini Gabon na Equatorial Guinea.

Libya:
Goalkeepers: Samir Aboud (Al Ittihad), Joumaa Gtit (Al Ahly), Mohamed Nachnouch (Al Ittihad)

Defenders: Mohamed Al Moghrabi (Olympique Khourigba, Morocco), Mohamed Mounir (FK Jagodina, Serbia), Younes Al Chibani (Olympique Khourigba, Morocco), Ali Salama (Olympique Beja, Tunisia), Oussama Achtiba (Al Najma, Lebanon), Ahmed Al Alwani (Al Madina), Rabii Al Lafi (Club Africain, Tunisia), Abdelaziz Belrich (Al Ittihad)

Midfielders: Jamal Abdallah (FC Braga, Portugal), Mohamed Al Snani (US Monastir, Tunisia), Marwan Al Mabrouk (Al Ittihad), Aboubakr Al Abidi (Al Nasr), Moataz Ben Amer (Al Ahly Benghazi), Walid Al Khatrouchi (Al Ittihad), Abdallah Al Cherif (Al Madina), Oussama Abdelsalam (Al Akhdhar), Faicel Al Badri (Al Hilal)

Forwards: Ahmed Saad (Club Africain, Tunisia), Ahmed Al Zwei (CA Bizertin, Tunisia), Ihab Al Boussifi (Al Ittihad)

...............................
kikosi cha Sudan ni kama hivi:

Goalkeepers: Mouez Mohjob (Al Hilal), Bhaldien Mohammed (Al Merreikh), Akram Al Hadi (Al Merreikh)

Defenders: Mosab Omar (Al Merreikh), Ngemaldien Abdullah (Al Merreikh), Ahmed Al Basha (Al Merreikh), Bala Jaber (Al Merreikh), Mowaia Bashir (Ittihad Madani), Siefaldien Ali (Al Hilal), Khaliefa Ahmed (Al Hilal)

Midfielders: Hisam Mustaffa (Al Hilal), Baderaldien Aldoud (Al Merreikh), Faisal Musa (Al Merreikh), Amier Kamal (Al Merreikh), Nazer Hamed (Al Hilal), Mohamed Al Tahir (Al Hilal) Alaadine Yousif (Al Hilal), Mohammed Ahmed Bashir (Al Hilal), Mohammed Moussi (Al Nsoor)

Forwards: Ramadan Alagab (Al Mourada), Mohammed Sheikh Eldin (Al Hasahesa), Eltaib Mudather (Al Hilal), Abdulrahman Hassan (Al Merreikh)

..........................

Niger:

Goalkeepers: Daouda Kassaly (Coton Sport, Cameroon), Rabo Saminou (Sahel SC), Lossény Doumbia (DC Motema Pembe, DR Congo)

Defenders: Koffi Dan Kowa (ES Zarzis, Tunisia), Kader Amadou Dodo (Olympic FC), Mohamed Chikoto (Platinium Stars, South Africa), Mohamed Soumaïla (Olympic FC), Djibrilla Moussa (AS Garde Nationale), Souleymane Mazadou (Union Sportive Marignanaise, France), Jimmy Bulus (Hussein Dey, Algeria), Issiaka Koudize (AS Garde Nationale)

Midfielders: Idrissa Laouali (AS FAN), Abdoul-Karim Lancina (Coton Sport, Cameroon), William Tonji Ngounou (IF Limhamn, Sweden), Olivier Harouna Bonnes (Lille, France), Yacouba Ali (Africa Sports, Ivory Coast), Idrissa Saïdou (Coton Sport, Cameroon), Boubacar Talatou (Orlando Pirates, South Africa), Moutari Amadou (Akokana FC), Issoufou Boubacar (FC Phuket, Thailand)

Forwards: Moussa Maazou (Zulte Waregem, Belgium), Issoufou Alhassane Dante (Raja Casablanca, Morocco), Kamilou Daouda (CS Sfaxien, Tunisia)

.................................
MALI.

Goalkeepers: Oumar Sissoko (Metz, France), Soumbeyla Diakite (Stade Malien), Alimamy Sogoba (As Réal).

Defenders: Ousmane Coulibaly (Brest, France), Idrissa Coulibaly (Esperance Tunis, Tunisia), Drissa Diakite (Nice, France), Cedric Kante (Panathinaikos, Greece), Mohamed Fofana (Toulouse, France), Adama Tamboura (Metz, France ), Mouhamadou N'Diaye (Vitoria Guimarães, Portugal), Abdoulaye Maiga (USM Alger, Algeria).

Midfielders: Seydou Keita (Barcelona, Spain), Kalilou Traoré (OB Odense, Denmark), Bakay Traore (Nancy, France), Abdou Traore (Bordeaux, France), Samba Diakite (Nancy, France), Mahamane Traore (Metz , France), Sidi Koné (Lyon, France), Samba Sow (Lens, France).

Forwards: Modibo Maiga (Sochaux, France), Garra Dembele (Freiburg, Germany), Cheick Tidiane Diabate (Bordeaux, France), Mustapha Yatabare (Guingamp, France).

WAANDAAJI EQUATORIAL GUINEA WATANGAZA KIKOSI

Equatorial Guinea waandaaji washirika na Gambia katika michuano ya Caf Orange Nations Cup 2012 wametangaza kikosi cha wachezaji 23 ambao wataiwakilisha nchi yao katika mashindano hayo makubwa barani Africa ambao watakuwa na kazi kubwa ya kuwafurahisha mashabiki wao nchini humo kutokana na kuwa Waandaaji wa mashindano hayo.

Wachezaji wa Equatorial Guinea ni kama ifuatavyo:

Goalkeepers: Danilo Emanuel (America, Brazil), Felipe Ovono (Sony de Ela Nguema), Achil Pensi Muokembe (The Panthers)

Defenders: Lawrence Sokota Doe (Al Shabab, Oman), Jose Bokung (Deportivo de Mongomo), Rui Fernando da Gracia Gomes (Logrones, Spain), David Álvarez (Langreo, Spain), Armando Sipoto Buale (Badajoz, Spain), Raúl Ivan Fabiani Bosio (C. D. Alcoyano, Spain)

Midfielders: Ben Esono Konate (The Panthers), Daniel Vazquez Evuy (Villaviciosa, Spain), Rolan de la Cruz Biyogo (Fortaleza, Colombia), Juvenal Edjogo Owono (Sabadell, Spain), Narcisse Ekanga Amia (TP Mazembe, DR Congo), Raúl Juan Máximo Eyama (Deportivo de Mongomo), Jose Javier Balboa Osa (SC Beira-Mar, Portugal), Fousseiny Kamissoko (Al Shabab, Oman)

Forwards: Ellong Douwala Viera (Sony de Ela Nguema), Rodolfo Bodipo (Deportivo de A Coruna, Spain), Ivan Bolado Palacios (Cartagena, Spain), Iban 'Randy' Iyanga (Union Deportiva Las Palmas, Spain), Thierry Fidjeu Tazemeta (Konyaspor, Turkey), Daniel-Bladimir Ekedo (San Roque de Lepe, Spain)

PICHA ZA FAINAL U20 UWANJA WA GOMBANI

























Viongozi wasimamizi wa daraja la Central League Taifa wa Zanzibar kutoka Unguja na Pemba ambao ndio wasimamizi wakuu wa mashindano ya vijana wakiwa katika picha ya pamoja siku ya kilele cha fainali hizo zilizofanyika katika uwanja wa Gombani Pemba









Fainali za Msimu uliopita 2011 ligi kuu ya Zanzibar U20 zilishirikisha jumla ya timu nne, mbili kutoka Unguja na Mbili kutoka Pemba ambapo mashindano hayo ya finali yalifanyika kwa mtindo wa ligi katika viwanja vya Polisi Madungu na Gombani Pemba.

Katika michuano hio Oranje Football Academy yenye kikosi kinachoundwa na vijana wenye vipaji vya hali ya juu chini ya miaka 20 walinyakua ubingwa huo baada ya kushinda mechi zote tatu dhidi ya wapinzani wake katika fainali hizo.

Katika pambano la kwanza O.F.A iliweza kuifunga Children Soccer Stars ya Pemba jumla ya mabao 2-1 kabla ya kuichapa Fairmount ya Unguja bao 1-0 na kuitwanga Okapi ya Pemba mabao 7-0 katika pambano la mwisho lililofanyika katika uwanja wa Gombani na Kutwaa Ubingwa wa msimu wa 2011.

CARLING CUP MAN CITY 0-1 LIVERPOOL

Bao lililofungwa na Steven Gerard katika dakika ya 13 kwa njia ya penalti limeiwezesha Liverpool kuifunga Manchester City bao 1-0 nyumbani Etihad Stadium katika michuano ya Carling Cup

Katika Pambano la ligi ya Primier League Tottenham Hotspur imeichapa Everton mabao 2-0 katika pambano lililofanyika katika uwanja wa White Hart Lane.
Mabao ya Tottenham yalifungwa na Lennon katika dakika ya 35’ na Assou-Ekotto 63’

Wednesday, 11 January 2012

GABON YATANGAZA KIKOSI CHA MWISHO

Wenyeji wa michuano ya Orange Nations Cup 2012 Gabon wametangaza kikosi chao cha mwisho cha wachezaji 23 ambao wataiwakilisha nchi hio katika fainali hizo zinazoanza mwezi huu.
katika kikosi hicho ni wachezaji 14 tu kati ya 23 ambao walikuwa katika kikosi hicho katika fainali za Caf Orange Nations Cup 2010 pia kuna wachezaji 4 kutoka katika kikosi cha U23.

Goalkeepers:
Yann Bidonga (Mangasport), Stephane Bitseki Moto (US Bitam), Didier Ovono (Le Mans, France)

Defenders:
Georges Ambourouet (Missile FC), Moise Brou Apanga (Brest, France), Bruno Ecuele Manga (Lorient, France), Remy Ebanega (US Bitam), Edmond Mouele (Mangasport), Rodrigue Moundounga (Olympique Beja, Tunisia), Charly Moussonou (Missile FC), Henri Ndong (US Bitam)

Midfielders:
Andre Biyogo Poko (Bordeaux, France), Cedric Boussougou (Mangasport), Levy Madinda (Celta Vigo, Spain), Bruno Mbanangoye Zita (Dinamo Minsk, Ukraine), Cedric Moubamba (US Bitam), Lloyd Palun (Nice, France)

Forwards:
Pierre-Emerick Aubameyang (St Etienne, France), Daniel Cousin (FC Sapins), Fabrice Do Marcolino (Laval), Roguy Meye (Zalaegerszeg, Hungary), Eric Mouloungui (Nice, France), Stephane Nguema (US Bitam).

Tuesday, 10 January 2012

IVORY COAST "TEMBO" YATANGAZA KIKOSI KIZITO

Ivory Coast imetangaza kikosi kizito ambacho tayari kimeanza kambi rasmi nchini Abu Dhabi ambapo itakuwepo kuko kwa siku 14 kabla ya kuelekea katika michuano ya Caf Orange Nations Cup.
wakiwa nchini Abu Dhabi "Elephant" watacheza mechi mbili za kirafiki kujiandaa na michuano hio mikubwa ya barani Africa ambapo watacheza dhidi ya Lebanon na Tunisia.

Kikosi hicho cha Ivory Coast safari hii kitakuwa na nyota ambae yuko katika "form" Wilfried Boni (Vitesse Arnhem, Netherlands), ambae ataonekana kwa mara ya kwanza kwa wapenzi wa soka katika kikosi hicho.Boni kwa sasa ni mshambuliaji bora wa kati sio tu kwa timu yake ya Vitesse-Arnhem bali ni mshambuliaji bora kwa timu zote za holland nchi inayosifika kwa kutoa nyota ambao hungára baadae katika nchi mbalimbali duniani wakiwemo nyota kama,romario na ronaldo ambao walianzia PSV-Eindhoven,Ibrahimovic-Ajax-Amsterdam,Larson-Feyanoord-Rotterdam,Nwanko Kanu-Ajax,Finidi George-Vitesse-Arnhem,Tijani Babangida-Ajax.Gudjenson-Feyanoord na wengine wengi.

kutokana na uwezo mkumbwa Wilfred Boni wa kumiliki mpira,skills,technics,na ufungaji bora na utoaji wa pasi safi za kumalizia kwa wenzake nyota huyo mpya Boni ambae ametokea nchini Russia alikokuwa akicheza soka ya kulipwa na kujiunga na timu hio ya Arnhem ambayo imenunuliwa na kumilikiwa na millionea kutoka Russia Jordanio na tayari makocha na wataalamu wa soka kutoka nchini holland wamemfananisha na kummwagia sifa Boni kuwa uwezo wake kisoka ni mkubwa sana na ana uwezo wa kuchezea timu yoyote duniani kama mshambuliaji wa kati ambapo wamemfananisha uwezo wake na ule wa Romario wa Brasil alipoanza kuichezea timu ya PSV-Eindhoven.

Millionea huyo wa Vitesse-Arhem Jordanio ambae ni rafiki mkubwa wa mmiliki wa Chelsea ya England Roman Abramovic tayari ana kikosi ambacho kimesheheni nyota wa kimataifa wenye umri kati ya miaka 18 hadi 22 ambao wanachezea timu za taifa mbalimbali duniani kati yao wapo mapacha wawili kutoka Brasil kutoka klabu ya Flamingo wanaochezea pia timu ya ya taifa ya U18 ya Brasil,ambapo pia yupo kiungo mkali kutoka Ghana Anthony Annan Koffi ambae aliichezea timu hio ya taifa katika mashindano ya kombe la Dunia nchini South Africa 2010.

Pia kutokana na maelezo ya kiongozi wetu wa O.F.A anaeishi mji wa Arnhem amemtaja Boni kuwa ni mshambuliaji wa kati mwenye akili na uwezo mkubwa wa kumiliki mipira na uwezo mkubwa wa kufunga na kutoa pasi uwezo ambao wachezaji wengi wa kati duniani kwa sasa ni adimu kupatiaka"kwani wengi wao wanakuwa na woga wakiwa na mpira katia maeneo ya hatari tofauti na boni anazidi kuwa mtulivu anapokuwa katika maeneo hayo na kutumia mahesabu kama mchezaji wa drafti-dama".
aliongeza kwa kusema Wilfred Boni ni mchezaji ambae mabeki kama watakuwa na papara ya kunyangánya mpira inakuwa ni vigumu sana kwani yeye mara zote anakuwa na akili na ujanja wa hali ya juu na nafasi ya beki kuuchukua mpira katika miliki ya Boni "ni sawa na nafasi ndogo ya kuupanda mbuyu kwa kutumia kifua inakuwa ni vigumu sana"
huku akimlinganisha na marehemu majidi musisi wa Uganda Cranes katika kudhibiti na kuficha mipira katika himaya yake.
kutoka na uwezo wa Boni ambae amesajiliwa summer msimu huu na katika kipindi cha miezi 6 aliyochezea tayari vilabu vikubwa kadhaa barani ulaya vinapigana vikumbo kumnyakua nyota huyo ambapo moja ya klabu kubwa imetangaza kumtaka nyota huyo kwa jumla ya euros mil 25 huku klabu yake ambayo kutokana na kumilikiwa na tajiri huyo kutoka russia klabu tajiri kwa sasa nchini Holland ikitangaza kuwa mchezaji huyo hauzwi na anabakia kuwa mali ya Vitesse-Arnhem.

Mbali na Boni pia kuna nyota Didier Ya Konan (Hannover, Germany), mchezaji mwenye uwezo mkubwa kumiliki mpira na kugawa pasi pamoja na upachikaji mabao,ni mchezaji mwenye quality kama Diego wa Brasil na nyota wa zamani wa Weder Brehmen ya Germany ni mmoja kati ya nyota watakaotoa burudani kubwa katika mashindano hayo ya Africa Cup 2012.

Kikosi kamili cha Ivory Coast ni:

Goalkeepers:
Barry Boubacar (Lokeren, Belgium), Gerrard Gnanahouan (Avranches, France), Daniel Yeboah (Dijon, France)

Defenders:
Siake Tiene (Paris St Germain, France), Arthur Boka (Stuttgart, Germany), Benjamin Angoua Brou (Valenciennes, France), Igor Lolo (FC Kuban Krasnodar, Russia), Didier Zokora (Trabzonspor, Turkey), Emmanuel Eboue (Galatasaray, Turkey), Kolo Toure (Manchester City, England), Souleymane Bamba (Leicester City, England)

Midfielders:
Kafoumba Coulibaly (Nice, France), Jean-Jacques Gosso Gosso (Orduspor, Turkey), Didier Ya Konan (Hannover, Germany), Cheick Tiote (Newcastle United, England), Max Gradel (St Etienne, France), Yaya Toure (Manchester City, England)

Forwards:
Gervinho (Arsenal, England), Seydou Doumbia (CSKA Moscow, Russia), Didier Drogba (Chelsea, England), Salomon Kalou (Chelsea, England), Wilfried Boni (Vitesse Arnhem, Netherlands), Abdul Kader Keita (Al Sadd, Qatar)

MATOKEO YA LIGI TURKEY

Monday, 9 January 2012

Fenerbahce
0-1(HT 0-1)
Gaziantepspor

Sunday, 8 January 2012

Ankaragucu
0-0(HT 0-0)
Besiktas

Antalyaspor
1-0(HT 0-0)
Kayserispor

Eskisehirspor
1-1(HT 1-0)
Sivasspor

Karabukspor
2-1(HT 1-1)
Genclerbirligi

Manisaspor
0-0(HT 0-0)
Orduspor

Saturday, 7 January 2012

Bursaspor
1-0(HT 0-0)
Mersin Idmanyurdu

Istanbul BB
0-2(HT 0-0)
Trabzonspor

Samsunspor
2-4(HT 2-0)
Galatasaray

Wednesday, 4 January 2012

Besiktas
0-0(HT 0-0)
Eskisehirspor

Gaziantepspor
1-0(HT 0-0)
Antalyaspor

Genclerbirligi
1-1(HT 1-1)
Samsunspor

Orduspor
1-1(HT 1-0)
Fenerbahce

Tuesday, 3 January 2012

Galatasaray
Colak (7)
4-1(HT 1-1)
Istanbul BB

Kayserispor
0-2(HT 0-1)
Bursaspor

Mersin Idmanyurdu
1-2(HT 0-1)
Ankaragucu

Sivasspor
3-0(HT 2-0)
Karabukspor

Trabzonspor
2-1(HT 1-0)
Manisaspor

MATOKEO YA LIGI PORTUGAL

Monday, 9 January 2012

Beira Mar
Artur (42)
1-2(HT 1-1)
Braga
Lima (16)Carlao (73)

Bookings:Nildo Petrolina (38)Chengdong (52)Miguel Nuno Coelho (72)
Bookings:Barbosa (86)Alan (86)

Sunday, 8 January 2012

Gil Vicente
0-3(HT 0-2)
Nacional
Danielson (1)Rondon (6)Skolnik (83)

Bookings:Todorovic (43)Oliver (63)
Sent off:Rodrigo Galo (62)

Guimaraes
Toscano (53)
1-0(HT 0-0)
Feirense

Bookings:Anderson Santana (39)Bruno Telles (75)Toscano (81)El Adoua (83)Alex (90+1)Ndiaye (90+3)

Bookings:Tavares (26)Rosado (41)Diogo Cunha (49)Miguel Pedro (75)

Maritimo
Selim Benachour (18)Danilo Dias (33)
2-1(HT 2-1)
Olhanense
Rui Duarte (pen 45+3)

Bookings:Roberto Sousa (45+2)Rafael Miranda (74)Briguel (81)Sami (82)
Bookings:Mauricio (48)

Rio Ave
Joao Tomas (pen 32)
1-0(HT 1-0)
Pacos Ferreira

Bookings:Tarantini (85)
Bookings:Andre Leao (18)Balde (32)Tony (71)Ozeia (82)
Sent off:Tarantini (90)
Sent off:Tony (80)

Uniao Leiria
0-4(HT 0-1)
Benfica
Bruno Cesar (10)Cardozo (48)Machado (73, 76)

Bookings:Djaniny (24)Edson Henrique (43)
Bookings:Witsel (61)Luisao (87)

Saturday, 7 January 2012

Sporting
0-0(HT 0-0)
FC Porto

Bookings:Elias (2)Carrillo (45+1)Anderson Polga (46)Schaars (84)
Bookings:Joao Moutinho (26)Otamendi (29)Fernando (62)Hulk (67)

Friday, 6 January 2012

Vitoria Setubal
Goncalves (60)
1-1(HT 0-0)
Academica
Marinho (49)

Bookings:Rafael Lopes (61)Miguelito (90+3)
Bookings:Sow (40)Fabio Luis (53)Abdoulaye (68)Peiser (72)Adrien Silva (90+3)

THIERRY HENRY AREJEA KWA KASI ARSENAL

Nahodha wa zamani wa timu ya Arsenal Thierry Henry ambae amejea kuichezea timu hio kwa mkopo wa miezi miwili kutoka kwa New York Red Bulls jana aliendelea kuzidisha rekodi yake katika klabu hio ya Arsenal baada ya kuifungia bao muhimu dhidi ya Leeds United bao alililolifunga katika dakika ya 78 akitokea katika benchi na kuiwezesha Arsenal kusonga mbele katika michuano hio ya FA Cup.kutokana na kufunga bao hilo Henry anaongeza idadi ya ufungaji bora wa timu hio kwa kutimiza mabao 227 akivaa jezi ya timu hio.

Monday, 9 January 2012

MESSI MCHEZAJI BORA DUNIANI

Leonel Messi wa F.c Barcelona na Argentine amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa soka duniani baada ya kushinda Ballon d'or na kuwapita Christian Ronaldo wa Real Madrid na timu ya taifa ya Portugal na Xavi Hernandez w F.c Barcelona na timu ya taifa ya Spain.
Hii ni mara ya tatu mfulululizo kwa nyota huyo wa F.c Barcelona kukwaa Tunzo hio na anakuwa ni mchezaji wa pili duniani kutwaa tunzo hio kwa mara ya tatu mfululizo ambapo ameweza kuifikia rekodi ya nyota na kaptain wa timu ya taifa ya ufaransa Michael Platini amabye sasa ni bosi wa UEFA,Messi ameweza kuzipita rekodi za wanasoka nyota wa zamani Zenedine Zidane wa Real Madrid na timu ya taifa ya France na Ronaldo De Lima pia mshambuliaji wa zamani wa Real Madrid na timu ya taifa ya Brasil kutwaa tunzo hio mara mbili mfululizo.

LIONS OF ATLAS YATANGAZA KIKOSI CHA MWISHO

Kocha wa timu ya Taifa ya Morocco "LIONS OF ATLAS" Eric Gerets ametangaza kikosi chake cha mwisho kitakachoweka kambi ya siku 10 katika mji wa Marbella nchini Spain kambi ambayo inaanza leo tarehe 09-01-2012 kujiandaa na mashindano ya soka ya Caf Nations Cup 2012,wakiwa nchini Spain "Lions of Atlas" watacheza mechi moja ya kirafiki dhidi Grasshoppers kutoka nchini Switzaland kabla ya kuwasili nchini Gabon siku ya tarehe 21-01-2012 ambapo siku mbili baadae tarehe 23-01-2012 itajitupa uwanjani katika pambano lake la mwanzo dhidi ya Tunisia katika michuano hio ya Caf Nations Cup 2012.
kikosi kamili cha "LIONS OF ATLAS"ni kama ifuatavyo:

Goalkeepers: Nadir Lmyaghri (WAC), Essam Bada (FUS Rabat), Mohamed Amcife (Augsburg, Germany).

Defenders: Jamal Elioui (El Khriteyat, Qatar), Mikael Bassir (Bursaspor, Turkey), Mehdi Benattia (Udinese, Italy), Abdul Fatah Boukhrise (FUS Rabat), Bader Qadouri (Celtic, Scotland), Abdul Hamid Kawthary (Monpellier, France), Ahmed Qantary (Stade Brest, France), Mustafa Mrani (MAS Fez).

Midfielders: Noureddine Mrabet (Kaisaryspor, Turkey), Younis Belhanda (Monpellier, France), Mubarak Bousouffa (Anzhi, Russia), Karim Ahmadi (Feyenoord, Netherlands), Adel Hermache (Al Hilal, Saudi Arabia), Hucine Kharja (Fiorentina, Italy).

Forwards: Oussama Saidi (Heerenveen, Netherlands), Mehdi Carcela (Anzhi, Russia), Marouane Chamakh (Arsenal,England), Youssef Arabi (Al Hilal, Saudi Arabia), Youssef Hadji (Stade Rennes, France), Adel Taarabt (Queens Park Rangers, England).

Wakati huohuo kiongozi wa O.F.A alikuwepo nchini Morocco kuangalia baadhi ya shughuli za Academy ya FUS-RABAT ambao ni mabingwa wa Caf Confederations Cup 2010-2011,
Kiongozi wetu wa O.F.A ambae alipata kujionea jinsi ya uendeleshaji wa shughuli mbalimbali za soka za Miamba hao wa soka barani Africa ambapo aliweza kutembelea kiwanja chao cha soka cha kisasa pamoja na ofisi mbalimbali na michezo mingine inayomilikiwa na miamba hao wa North Africa.
mbali na kutembelea kiwanja hicho cha kisasa pia alitembelea kiwanja chao cha zamani kilichopo katika mji wa HAY RIAD katikati ya jiji la Rabat kiwanja ambacho kwasasa kinatumika kama kiwanja cha mazoezi cha miamba hio pamoja na mazoezi ya timu zake za youth ambapo wana vijana wenye viwango vya hali ya juu kutoka nchini humo pamoja nchi kadhaa za north na west africa ambapo nyota hao ndio watakao wawakilisha miamba hio siku zijazo na pia kupunguza gharama za kununua wachezaji wa nje kwa gharama kubwa na badala yake wamekeza katika soka ya vijana ambao wanacheza soka na mbinu sawa na kaka zao wa timu kubwa huku wakiwa na walimu wenye viwango vya kimataifa katika ufundishaji na ndio wanaoleta maendeleo na mafanikio ya klabu hio kubwa kiuchumi na ndio moja ya mbinu kubwa ambayo timu hio imeweza kupata mafanikio mengi katika soka barani africa ambao hivi sasa ndio wanaoongoza ligi nchini morocco kwa kucheza mechi 15 huku walikwa na point 33 wakifuatiwa na Raja Casablanca pia iliyocheza mechi 15 na kuwa na piont 27 katika ligi hio ngumu yenye timu zilizosheheni wachezaji nyote wa barani africa na ambazo zinaendeshwa kisasa.
mbali na kiongozi wetu ambae alitembelea shughuli za klabu hio pia aliweza kwenda kuangalia pambano kali la wapinzani wa jadi wa jiji la Casablanca miamba Wyday Casablanca vs Raja Casablanca pambano ambalo lilichezwa katika uwanja wa Wydad Casablanca uwanja wa Stade Mohamed V jijini casablanca ambapo matokeo yalikuwa ni 0-0.

MATOKEO SERIE A

Sunday, 8 January 2012

Atalanta
0-2(HT 0-1)
AC Milan
Ibrahimovic (pen 22)Boateng (82)
Bookings:Carmona (31)Manfredini (74)Cigarini (80)Denis (90+1)
Bookings:Boateng (18)Bonera (27)

Bologna
Nicolo Cherubin (50)Di Vaio (90+1)
2-0(HT 0-0)
Catania
Bookings:Di Vaio (28)Mudingayi (48)Nicolo Cherubin (77)
Bookings:Legrottaglie (28)Giovanni Marchese (33)Alvarez (42)Izco (45+1)Biagianti (55)
Sent off:Biagianti (78)

Cagliari
Larrivey (pen 12)Ibarbo (56)Granqvist (og 72)
3-0(HT 1-0)
Genoa
Bookings:Agostini (45)Ekdal (51)
Bookings:Granqvist (24)Constant (58)Dainelli (74)
Sent off:Moretti (66)

Lecce
0-1(HT 0-1)
Juventus
Matri (27)
Bookings:Oddo (39)Olivera (53)Juan Cuadrado (68)
Bookings:Vidal (53)Chiellini (64)

Novara
0-3(HT 0-2)
Fiorentina
Jovetic (pen 20, 49)Montolivo (42)
Bookings:Matteo Centurioni (19)
Bookings:Mattija Nastasic (35)Salifu (68)

Palermo
Miccoli (89)
1-3(HT 0-1)
Napoli
Pandev (35)Cavani (54)Hamsik (60)

Roma
Totti (pen 34, pen 78)
2-0(HT 1-0)
Chievo
Bookings:Bojan (13)Totti (35)Heinze (84)
Bookings:Hetemaj (73)Cesar (77)Cesar (90+4)

Udinese
Di Natale (1, 82)Asamoah (54)Basta (75)
4-1(HT 1-1)
Cesena
Eder (38)
Bookings:Benatia (31)
Bookings:Maurizio Lauro (27)Parolo (48)
Sent off:Maurizio Lauro (61)

Saturday, 7 January 2012
Inter Milan
Milito (13, 43)Motta (17)Pazzini (56)Faraoni (79)
5-0(HT 3-0)
Parma
Bookings:Samuel (23)
Bookings:Galloppa (34)

Siena
Mattia Destro (11, 81)Calaio (pen 35, pen 45+4)
4-0(HT 3-0)
Lazio
Bookings:Mattia Destro (12)Rossettini (54)Del Grosso (88)
Bookings:Sculli (74)
Sent off:Bizzarri (45+7)